MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Ukiachana na hii video..,
1. Kuna video moja niliona njemba zinakanda unga wa ngano kwa kurukiarukia tena peku.
2. Nimewahi kushuhudia jirani yangu (mpangaji mwenzangu) akitumia chupi kama chujio cha chai. Alikua ni mama ntilie pale mtaani kila asubuhi alikua anaenda kuuza uji, chai na vitafunio.
3. Dar kuna viwanda bubu vingi sana vya pombe kali. Naomba niishie apa
Wengine kula mgahawani ni kitu ambacho hakiepukiki kutokana na mishe zetu kutuweka mbali na nyumbani kwa muda mrefu.
Kweli Bongo nyoso, Nini kifanyike?
1. Kuna video moja niliona njemba zinakanda unga wa ngano kwa kurukiarukia tena peku.
2. Nimewahi kushuhudia jirani yangu (mpangaji mwenzangu) akitumia chupi kama chujio cha chai. Alikua ni mama ntilie pale mtaani kila asubuhi alikua anaenda kuuza uji, chai na vitafunio.
3. Dar kuna viwanda bubu vingi sana vya pombe kali. Naomba niishie apa
Wengine kula mgahawani ni kitu ambacho hakiepukiki kutokana na mishe zetu kutuweka mbali na nyumbani kwa muda mrefu.
Kweli Bongo nyoso, Nini kifanyike?