goodmother
Senior Member
- Jul 21, 2012
- 108
- 78
Salaam ndugu zangu! Nimekusanya kusanya hatimaye nimefanikiwa kupata kiasi cha Shilingi million kumi (10,000,000) changamoto ni kwamba nataka kuhama mkoa kutokana na familly comflicts. Sasa mawazo yangu ni kuwa nihamie mkoa gani kati ya
Dar na Morogoro? Ukizingatia mawazo yangu zaidi ni kufanya biashara na kilimo cha mboga mboga, kwa kuwa kidogo kilimo cha mbogamboga nina uzoefu nacho,na kuna uwezekano wa kupata shamba Mkuranga kwa msaada wa mjasiriamali wa humu JF. Naombeni mawazo yenu nihamie mkoa gani kati ya hiyo tajwa? Pia sijajua nkifika katika hiyo mikoa nitajishuhulisha na biasharara gani mbali na kilimo. Nb nina watoto wa 4 ambao nitahama nao na siyo mbaya ushauri uzingatie kuwa nina jukumu la malezi ya watoto.
Ushauri jamani na pendekezo la mkoa! Shukrani.
Dar na Morogoro? Ukizingatia mawazo yangu zaidi ni kufanya biashara na kilimo cha mboga mboga, kwa kuwa kidogo kilimo cha mbogamboga nina uzoefu nacho,na kuna uwezekano wa kupata shamba Mkuranga kwa msaada wa mjasiriamali wa humu JF. Naombeni mawazo yenu nihamie mkoa gani kati ya hiyo tajwa? Pia sijajua nkifika katika hiyo mikoa nitajishuhulisha na biasharara gani mbali na kilimo. Nb nina watoto wa 4 ambao nitahama nao na siyo mbaya ushauri uzingatie kuwa nina jukumu la malezi ya watoto.
Ushauri jamani na pendekezo la mkoa! Shukrani.