Mtumwa wa kweli
Member
- Feb 11, 2011
- 71
- 6
Heshima mbele wakuu,
Nimeamua kujiajiri baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu, nimeanzisha biashara ya masoko, natafuta masoko kwa kulipwa kamisheni, hivyo basi nawakaribisha watoa huduma wote, mfano huduma zote katika maharusi, wapiga picha, catering, wapambaji, MC na mziki, shooting na huduma yoyote inayohitaji kutafutiwa wateja basi mimi ndo suruhisho lako.
Naomba uni PM kwa mawasiliano zaidi.
Nimeamua kujiajiri baada ya kutafuta kazi kwa muda mrefu, nimeanzisha biashara ya masoko, natafuta masoko kwa kulipwa kamisheni, hivyo basi nawakaribisha watoa huduma wote, mfano huduma zote katika maharusi, wapiga picha, catering, wapambaji, MC na mziki, shooting na huduma yoyote inayohitaji kutafutiwa wateja basi mimi ndo suruhisho lako.
Naomba uni PM kwa mawasiliano zaidi.