Wajasiriliamali wa Tanzania tuna lipi la kujifunza kutokana na makosa ya kiufundi / kitaalam ya Mr. Kuku?

Bujibuji shida kuu ya sisi ni Tamaa na ulaghai wa kiwango cha juu hii ndo kikwazo hatuna mambo yalioa wazi, unacho sema Crowd Farming Nigeria kiko wazi kila kitu kiko wazi kabisa.

Je sisi tuna uwazi? NAMINGO walikuwa wazi? Je Mr Kuku alikuwa na uwazi?

Hakuna justification ya kudhurumu watu pesa yao, hujui wameipata vipi hadi wakaja kuwekeza kwa nia nzuri kumbe wewe nia yako sio nzuri ni dhambi pia
Chuki ni adui mkubwa wa maendeleo na mafanikio ya mtu mmoja mmoja na Taifa zima kwa ujumla
 
Mkuu shida kuu ipo kwenye dhamira zetu, Watanzania tuna Ulaghai asikuambie mtu. Shida kuu huwa tuna hiden agenda zingine ushirika ni ngumu sana kwa Tanzania kwa sababu ya ulaghai,
 
Network Marketing sio Ulaghai mkuu sema ile model yao ni ngumu sana na ukiweka na umasikini wetu ni haifanyi kazi Tanzania, ile model kwa nchi masikini ni kama utapeli tu ingawa sio utapeli. Ila zipo zingine za kitapeli
Mkuu na vipi wale jamaa wa forever na aim global wale wana vibali vyote vya kuendesha ile biashara ya network marketing?mbona bado wapo?
 
Sasa ni afadhali hata hiyo ya Mr kuku unatoa hela huku products zinazozalishwa unaziona kuliko zile za network marketing unatoa hela hujui zinakwenda wapi,ishu ikibuma hauna wa kumkamata kila mtu atakwambia kampuni sio yake imetokea ufilipino.
Network Marketing sio Ulaghai mkuu sema ile model yao ni ngumu sana na ukiweka na umasikini wetu ni haifanyi kazi Tanzania, ile model kwa nchi masikini ni kama utapeli tu ingawa sio utapeli. Ila zipo zingine za kitapeli
 
Bujibuji nenda na hili bandiko Kenya unaweza Chomwa moto, kule watu wamelizwa acha kabisa orodha ni ndefu sana ya last time ilikuwa kwenye Magreen House.

So shida ni kwamba kuna utapeli mwingi sana hii ndo shida na hata Crowd Farming Model bado kuna Utapeli
 
Mrkuku hajihusishi na Farming ni vyema ungetoa mfano huo kwa upande wa poultry farming.

Aya toa tena mfano tuone kama hai-feet.
 
Crowd Farming sio hii ya wakina Mr Kuku acha kutetea Upatu mkuu.

Na inafanyika pia Zimbabwe ni kwamba ni mahususi kwa wale wenye mashamba ila hawana mitaji ndo wanakuja investor wana invest.

Mr kuku alikuwa anatumia hiyo Model? Jibu ni hapana
Toa maelezo ya huo mfumo kwenye ufugaji ndio alichokuwa anajihusisha nacho kwanini utoe kwenye Cultivating.
 
Nenda kuna jamaa wanaitwa JATU
 
Mkuu sio swala la Chuki je Jamaa dhamira yake ilikuwa safi? Swala linakuja kwenye dhamira, Chiki zipo sana ukiangalia malalamiko kwa jamaa yalikuwa mengi watu wanadai pesa zao wewe hiyo unaona ni sawa?
Mkuu unaweza kuleta ushahidi wowote wa mtu aliyedai pesa yake ??
 
Chasha farmingi nani kadhurumiwa ??
 
Crowd Farming sio hii ya wakina Mr Kuku acha kutetea Upatu mkuu.

Na inafanyika pia Zimbabwe ni kwamba ni mahususi kwa wale wenye mashamba ila hawana mitaji ndo wanakuja investor wana invest.

Mr kuku alikuwa anatumia hiyo Model? Jibu ni hapana
Mkuu vipi kuhusu JATU?
 
Kama nafuatilia mitandao ya kijamii kuna malalamiko kna clip moja jamaa analalamila wameblock account zote za benki na hii ilitokea baada ya watu kulalamika.

Vitu kama hivi ukianza kulalamikiwa tu umeisha model ya jamaa niliwahi kumwambia live kwamba ni ngumu sana kuitekeleza na mwishoni italeta matatizo
Chasha farmingi nani kadhurumiwa ??
 
Hiwezi wewe kuigeuza kwenda kwenye Ufugaji? Yaani mimi kutolea kwenye kilimo unashindwa kweli kuibadilisha uone inaweza fanya vipi kazi kwenye ufugaji?
Toa maelezo ya huo mfumo kwenye ufugaji ndio alichokuwa anajihusisha nacho kwanini utoe kwenye Cultivating.
 
I
Ikiwa limetokea hili sawa, maana mimi nilisikia wame block kwa uchunguzi tu.
 
Mbona nilielezea na kwenye ufugaji model ni hiyo hiyo unabadili tu kwamba hii ni ifugaji na hii ni kulima ila Model ni hiyo hiyo
Mrkuku hajihusishi na Farming ni vyema ungetoa mfano huo kwa upande wa poultry farming.

Aya toa tena mfano tuone kama hai-feet.
 
Itoshe kusema Mr Kuku ni TAPELI kama ONTARIO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…