Wajasiriliamali wa Tanzania tuna lipi la kujifunza kutokana na makosa ya kiufundi / kitaalam ya Mr. Kuku?

Idea ya jamaa ni nzuri....ila execution ilikuwa ina mushkeri kidogo
 

Nimesoma mpaka machozi yamenitoka kwa uchungu.

Ni kweli kabisa mkuu, 29yrs kijana anaweza kukusanya 17bil bila kushika bunduki wala kuuza unga just using his good brains na kwa kufanya kitu kinachoonekana... Baada ya watu kukaa naye kuweka naye mambo sawa na kumsimami kijana huyu ambaye nina uhakika uwekezaji ungefanyika kwake in his 35yrs angekuwa level za juu sana.

Kijana kama huyu kumfunga au kumfilisi ni hatari na hasara kwa Taifa aisee, Wapo vijana wengi ambao kipindi hiki au miaka hii ya karibuni wamekuwa wabunifu na kutengeneza hela nyingi wakiwa below 30yrs lakini matokeo yake huitwa matapeli...

Wazee wetu wengi wana akili za kijamaa na hawaamini kama kijana mdogo hawezi kushika mamilioni ya hela na kuwa tajiri huku wakisahau dunia imebadirika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…