#COVID19 Wajawazito kuathiriwa zaidi na Virusi vya Corona

#COVID19 Wajawazito kuathiriwa zaidi na Virusi vya Corona

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210310_081101_760.jpg


Tafiti zinaonesha kuwa wajawazito wako katika hatari zaidi ya kuambukizwa vizusi vya #Corona.

Aidha wajawazito walio na Korona wapo katika hatari ya kuathiriwa zaidi na kupelekea madhara mengine kama vile kujifungua kabla ya wakati.

Njia bora ya wajawazito kujilinda na Virusi vya # Corona ni kujitenga na watu wengine, kupunguza safari zisizo za lazima na kuvaa barakoa awapo kwenye umma.

#JamiiForums #JFAfya
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom