#COVID19 Wajawazito kuathiriwa zaidi na Virusi vya Corona

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124


Tafiti zinaonesha kuwa wajawazito wako katika hatari zaidi ya kuambukizwa vizusi vya #Corona.

Aidha wajawazito walio na Korona wapo katika hatari ya kuathiriwa zaidi na kupelekea madhara mengine kama vile kujifungua kabla ya wakati.

Njia bora ya wajawazito kujilinda na Virusi vya # Corona ni kujitenga na watu wengine, kupunguza safari zisizo za lazima na kuvaa barakoa awapo kwenye umma.

#JamiiForums #JFAfya
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…