Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Nina mpango wa kujenga real estates za kupangisha.
Je, kwa nyumba ambayo ni:
Karibuni wajenzi.
NB: Humu JamiiForums hamna uzi unaohusu gharama ambazo ni latest za ujenzi?
Je, kwa nyumba ambayo ni:
- Single room gharama za ujenzi zaweza kua ngapi?
- Single room kukiwa na choo ndani(self contained), gharama za ujenzi zaweza kua shilingi ngapi?
- Double room ikiwa na choo ndani yaweza gharama zake kua shilungi ngapi?
Karibuni wajenzi.
NB: Humu JamiiForums hamna uzi unaohusu gharama ambazo ni latest za ujenzi?