FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Wanatujengea nyumba nzuri sana,wanashinda juani na kula huwa juu yao chai na Chakula cha mchana,watoe humo humo kwenye 15,000 na 8,000,ni sahihi?
Mh.Lukuvi tunakuomba uungurume juu ya hili uwapandishie iwe hata tsh.20,000 kwa Fundi na tsh.10,000 kwa kibarua,nawasilisha.
Instagram jina: kaukwaju
Mh.Lukuvi tunakuomba uungurume juu ya hili uwapandishie iwe hata tsh.20,000 kwa Fundi na tsh.10,000 kwa kibarua,nawasilisha.
Instagram jina: kaukwaju