Natty Bongoman
JF-Expert Member
- Oct 10, 2008
- 403
- 191
Habari wanaJF.
Majuzi wenzetu Kenya walikumbwa na janga pichani hapo chini.
mjadala wa hili tukio wajiolojia wanatuambia ni ishara ya mgawanyiko utakaotokea mbeleni. Ukiangalia ramani, wanatuambia bonde la ufa ni kama mipaka ya mapande mawili ya ardhi yanayoonyesha kusogea, kila pande upande wake... ramani ya mwisho ni ya makisio baada ya mmomonyoko - kisiwa kipya nnachokiita 'Uswahilini'
Majuzi wenzetu Kenya walikumbwa na janga pichani hapo chini.
mjadala wa hili tukio wajiolojia wanatuambia ni ishara ya mgawanyiko utakaotokea mbeleni. Ukiangalia ramani, wanatuambia bonde la ufa ni kama mipaka ya mapande mawili ya ardhi yanayoonyesha kusogea, kila pande upande wake... ramani ya mwisho ni ya makisio baada ya mmomonyoko - kisiwa kipya nnachokiita 'Uswahilini'