Natty Bongoman
JF-Expert Member
- Oct 10, 2008
- 403
- 191
😅😅Tayari Tanzania NI kisiwa cha amani.
Labda baadae kitakuwa NI kisiwa cha mapenzi
poa Doc... hata mm sidhani hili ni maishani mwetu labda itokee bonge la tetemekoNgoja nicheki investments zangu zinafanya vipi.. i am not worried about this... kama ni kutokea ni baadae sana wakati sisi na watoto wa kizazi hiki tumeshakufa. Thanks lakini for sharing this info
Umekula bitth day mwenyewe?Tayari Tanzania NI kisiwa cha amani.
Labda baadae kitakuwa NI kisiwa cha mapenzi
Bado inaendelea hadi mwanzo wa RamadhanUmekula bitth day mwenyewe?
Ni kweli kabisa blonde la ufa kipande Cha Mashariki kinatanuka Kwa urefu wa sm 10 Kwa mwaka kutoka bahari ya Shamu/Red sea Hadi Mozambique kwahiyo viumbe vijavyo vitegemee upande wa Mashariki wa bonde Hilo yaani mikoa kama Kilimanjaro, Morogoro, Mtwara, Mbeya, Iringa, Njombe, Lindi, Pwani na DSm na baadhi ya maeneo ya Dodoma, Manyara na Arusha kutengeneza Bara lao huko mbeleniHabari wanaJF.
Majuzi wenzetu Kenya walikumbwa na janga pichani hapo chini.
View attachment 2147482
mjadala wa hili tukio wajiolojia wanatuambia ni ishara ya mgawanyiko utakaotokea mbeleni. Ukiangalia ramani, wanatuambia bonde la ufa ni kama mipaka ya mapande mawili ya ardhi yanayoonyesha kusogea, kila pande upande wake... ramani ya mwisho ni ya makisio baada ya mmomonyoko - kisiwa kipya nnachokiita 'Uswahilini'
View attachment 2147483
View attachment 2147484
View attachment 2147485
Asante kwa nyongeza mkuuNi kweli kabisa blonde la ufa kipande Cha Mashariki kinatanuka Kwa urefu wa sm 10 Kwa mwaka kutoka bahari ya Shamu/Red sea Hadi Mozambique kwahiyo viumbe vijavyo vitegemee upande wa Mashariki wa bonde Hilo yaani mikoa kama Kilimanjaro, Morogoro, Mtwara, Mbeya, Iringa, Njombe, Lindi, Pwani na DSm na baadhi ya maeneo ya Dodoma, Manyara na Arusha kutengeneza Bara lao huko mbeleni
natumaini sivo manake atlantis wanasema ilizama imepotea hata mabakiInaweza kutokea in years to come, labda mambo yatakuwa kama jiji la Atlantis
Ni kweli kabisa blonde la ufa kipande Cha Mashariki kinatanuka Kwa urefu wa sm 10 Kwa mwaka kutoka bahari ya Shamu/Red sea Hadi Mozambique kwahiyo viumbe vijavyo vitegemee upande wa Mashariki wa bonde Hilo yaani mikoa kama Kilimanjaro, Morogoro, Mtwara, Mbeya, Iringa, Njombe, Lindi, Pwani na DSm na baadhi ya maeneo ya Dodoma, Manyara na Arusha kutengeneza Bara lao huko mbeleni