Wajue Mapepo katika maumbo ya Wanadamu

Inafikirisha!
1. Inawezekana wamo JF?
2. Wana uhusiano wo wote na wanaojiita atheist?
 
Inafikirisha!
1. Inawezekana wamo JF?
2. Wana uhusiano wo wote na wanaojiita atheist?
Kwamba sisi tusio amini hadithi za uwepo wa Mungu ni majini na mapepo?

Duh ulokole tena😁
 
Ndiyo kusema hii dunia si salama?
😃😃😃
 
MAPEPO KATIKA form ya WANADAMU huwezi yafuga sababu Si Roho, Bali ni watu kabisa wenye miili kama WANADAMU.

Ukisikia Gogu na magogu,au Uzao wa Nyoka ndo hao, hawafi, wanabadili form watakavyo.
Inafikirisha!

Inasemekana wengi wao wana akili sana, lakini si kila "genius" ni "jini"

Wanaweza wakawa na uhusiano wo wote na baadhi ya wanasayansi ambao ni atheist?
 
Mimi sijasema hivyo, nimeuliza uhusiano.

Na kuhusu uwepo wa MUNGU hiyo si hadithi, ni Kweli, Kweli tupu.
Ukisha jiingiza kwenye imani hakunaga ukweli kwa watu wote wala uwongo kwa watu wote ,ila uhalisia unabaki kua uhalisia bila kujalisha unaamini au hauamini.

Uchawi upo kichwani kwa anae amini tu ila sio kwa kila mtu .

Jambo unaloona ni uchawi kwako kwangu linaweza kuwa na tafsiri nyingne kabisa na likapata maana rahisi kabisa.
 
Uzuri wa Ngoma uingie ucheze.

Wewe ingia na akili yako timamu, na baada ya miezi mitatu ukijiridhisha kuwa ni ukichaa, utoke ukiwa na cha kusimulia.
Mkuu ungeyasema haya ingekua mimi ni kijana mdgo tu , hii simu unayotumia leo miaka 30 tu nyuma ungeizungumzia ungeonekana mchawi na ni miujiza ya kutisha.
 
Aisee hii kali, naomba kuuliza, je huyu mdada FaizaFoxy naye ni pepo? Maana anatafutwa na watu humu ndani mpaka wengine wanaomba akamatwe na Waisrael awekwe mtandaoni tumuone.
 
Yesu kaibukia Tanzania:

Your browser is not able to display this video.
 
Kama hujui kitu ni bora unyamaze.

Ushasikia Malaika anaitwa Sara ?

Jinsia ya kike iliumbwa tu ili kumfurahisha Adam.

Mungu ni mwanamme

Isaya (Isa) 50:1 BWANA asema hivi, Iko wapi hati ya talaka ya mama yenu, ambayo kwa hiyo naliachana naye? Au nimewauza ninyi kwa nani katika watu wanaoniwia? Ninyi mliuzwa kwa sababu ya maovu yenu; tena mama yenu ameachwa kwa sababu ya makosa yenu.

Malaika wote ni wanaume
Michael
Rafael
Gabriel
Ramiel
Uriel
Sariel
Nk.
Yesu ni mwanaume pia, na alifundisha kusali

Baba yetu uliye Mbinguni.

Usijifanye mjuaji uliza.
 
Nipo hapa nasoma comments nasubiri mwendelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…