snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
Zikiwa zimebakia siku chache tu Pambano la karne kutokea, baadhi ya mastaa wameendelea kutupa karata zao.
*Upande wa Manny Pacuaiao.
kuna
- Sylivester Stallone "Rambo"
- Mike Tyson
- Mohammed Ali
- Ronda Rousey (mwanadada huyu mwenye dani nne za judo, pia mcheza boxing)
- Mark Walhberg (kacheza movie za action, na pia ame bet na P didy kiasi cha Tsh 487 kwamba Pacuiano atashinda)
Upande wa Team Mayweather
Kuna.
- Justin Beiber
- Maria Carey
- P didy
- Rick Ross
- 50 Cent
Hapo nadhani mwenye akili amegundua kitu flani, na ameeona maajabu yaliyopo, haihitaji degree wala masters.
snipa
Last edited by a moderator: