Wajue Masupasta 10 waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI

Asante mkuu ila kitu nilichoona its all about black people! Sisi weusi no matter what and where you live we are the victims of deadly disease and poverty! Afrika Aids imeua sana USA black community the same! Swali why black?
Because of their blackness
 
Zamani mtu akiwa na ukimwi unajua kabisa na watu walikuwa wanakufa wamekonda vidonda kibao, ila siku izi mtu anakufa na ngoma akiwa mzima na mwenye afya sijui ndo globalization au mambo ya digital
mkuu AIDS si unajua ni Biashara ile so lazima modifications ziendane na usasa
 
SIku izi magonjwa yanalipuka mengi, washukur izo dawa za kupunguza makali ya ukimwi, maana wangeumbuka wengi, mtu anajishaua kufanya mazoezi na kula vizur kumbe tayari... bongo movie ndo mmh hatari, huyu mjane kijana nae nasikia kaukwaa
Mjane uyu uyu au?
 
This is very very true.
Huyo Baba yupo Utube akielezea wiki Moja kabla ya kifo chake na alihuzunika sana.Mana alimpenda ila Ni kwa jili ya kazi.Na akasema katika kazi alizofanya zikamsuta nafsi Na kuona Ni dhambi kubwa Ni kuhusika kumwekea kipini kwenye Raba za Bob mana alijifanya mwandishi wa habari Na kujifanya kuandika good news kumbe sio(funzo ukiwa mwanaharakati nyimbo au siasa za kukosoa kuwa makini Na zawadi zawadi au MTU wako wa karibu anaweza nunuliwa yeye ndo akawa chanzo cha shida zako.
Be careful.
Bob hajafa na ngoma wewe....... alikuwa na saratani na aliyesababisha bob afe alijitangaza akiwa kibabu kinatarajia kufa.... ni CIA wa USA.
 
Naona wote walifariki ata kabla sija zaliwa kijana..auna wa ivi karibuni[emoji36][emoji36]
 
Kuna mtu mmoja alikua na nguvu sana hapa TZ.tulitangaziwa kaondoka kwa kansa ya damu lkn ilikua ngoma pia. Nikimtaja sitaeleweka hata kidogo na wa Tz na naweza kutiwa selo. Ngoja tu nipotezee!
kwa kuwa ni babu yako mtaje tu wakikukamata sema nilikuwa natania tu
 
Rock Hudson
Elizabeth Gracer
Pedro Zamora
Perry Ellis
Robert Reed
Haliston
Ryan White
Antonny Perkins
Liberace
Arthur Ashe
Rudolf Nureyev
Amanda Blake
Derek Jarman
Klaus Nomi
Peter Allen
Brad Davis
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…