Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So funny
1. Ridhiwani Kikwete (qualifications)1. Ridhiwan Jakaya Kikwete
2. Mariam Ukiwaona Ditopile wa Mzuzuri
3.........................................................
4.........................................................
tuendelee.....
1. Ridhiwan Jakaya Kikwete
2. Mariam Ukiwaona Ditopile wa Mzuzuri
tuendelee.....
Utafuniwe na umezewe...! jishughulishe baba...!1. Ridhiwani Kikwete (qualifications)
2. Miriam Ditopile (qualifications)
Sio majina tu na qualifications zao pia tunaomba kaka.
Post inazungumzia vijana 30 wasomi wanaomtumikia JK, umeleta majina mawili wamesoma nini tena unaniambia nitafute. Mfano Ridhiwani amekua akiitwa msomi kwa muda amesoma nini hoo haaa sijui hee. Leo sijui ana wadhifa gani sijui UVCCM, kesho mmbunge mara waziri kwanini atuendelei ni upuuzi kama huu kuwaita ma dunce wasomi wakija pewa senstive post wana boronga kama baba zao.Utafuniwe na umezewe...! jishughulishe baba...!
I agree.jamani tuwe tunaweka 'titles' zinazoendana na post sasa vijana 30 wasomi na huyo babu wapi na wapi tafadhalini.
Post inazungumzia vijana 30 wasomi wanaomtumikia JK, umeleta majina mawili wamesoma nini tena unaniambia nitafute. Mfano Ridhiwani amekua akiitwa msomi kwa muda amesoma nini hoo haaa sijui hee. Leo sijui ana wadhifa gani sijui UVCCM, kesho mmbunge mara waziri kwanini atuendelei ni upuuzi kama huu kuwaita ma dunce wasomi wakija pewa senstive post wana boronga kama baba zao.
So far naona majina ya privileged kids no qualifications no achievements za mchango wowote. Kabla ujamwita mtu msomi jua mchango wange kwanza katika usomi wake vinginevyo sema ana elimu, awe hata na Phd.
thats whats up!Una hoja nzuri ila suala la "wasomi" limeripotiwa sana na magazeti kwahiyo muanzisha thread alitaka tupate majina ya hao wanaoitwa "wasomi" halafu ndio tuone usomi wao. Ila hatua ya kwanza ni kuwatambua kwanza , labda tumshauri muanzisha thread aweke quotation mark kwenye neno wasomi kuashiria kwamba ndivyo wanavyoitwa ila sio opinion yake.