mkubwa uko ikulu kabisa... yani umeweka safi sana.... nasubiri hoja zko nyamagana, ubungo, kinondoni, moshi mjini, arumeru mashariki na magharibi, babati mbulu, chakechake nkHalima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha
mkubwa uko ikulu kabisa... Yani umeweka safi sana.... Nasubiri hoja zko nyamagana, ubungo, kinondoni, moshi mjini, arumeru mashariki na magharibi, babati mbulu, chakechake nk
Unauhakika gani na uliyo yaandika? au unaleta upenzi na ushabiki usio na tijaHalima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha
MayuUnauhakika gani na uliyo yaandika? au unaleta upenzi na ushabiki usio na tija
in short karibu wote ulio wataja wanachukua majimbo hasa Mbowe ccm hawalali jinsi anavyokubalika jimboni,
acha unafiki ndugu
maandishi yamepangika.........japo mambo bado ni magumu sana si kama uonavyo.......Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha
Halima mdee na J mbatia, wanadaiwa kugawana kura na kumuacha ccm akipeta
Hali kama hiyo ipo na ubngo, Mtatiro na myika
Segerea mpendazoe hoi
Kwa Zitto hali si shwari kabisa hadi anafikia kuilaumu cuf kusimamisha mgombea strong anagawa kura.
Mrema alianza vizuri lakini sasa mambo yamemkalia vibaya sana vunjo
Mtu mzima Mbowe anatumia nguvu nyingi sana lakini hadi sasa hali yake si ya uhakika
Bwana lema mzee wa kigeugeu hapo arusha watu hawana imani nae kabisa sasa anatishia kuua.
Tundu lisu ndio kabisaa hoi sgd.
Mwenye taarifa zaidi aiweke nawasilisha
Lets wait and seeMkuu hapo funga mabano then negate kitu uone mambo yake. Negate means kinyume chake, kama ni moja inakuwa zero, na kama ni zero inakuwa moja.
Lets wait and see
mkuu nasikia Tarime nako kumebana mbunge aliyemaliza muda wake na kuhamia CUF bada ya matokeo yake kuchakachuliwa anawakimbiza vibaya chadema na CCM
Mayu
Hakuna habari ya unafiki hapa, kama wewe ni mkaazi wa Dar hebu fikiria nguvu ya Mtatiro, nakisha ya Mnyika upande wa ubungo, niwazi watagawana kura tu,
vipi kuhusu Mbezi kwa Mdee na Mbatia
mkuu hizi ni taarifa zilizo fanyiwa kazi na sio uzushi kama unavyo weza fikiria
Mkuu jifunze tu kuukubali ukweli kuwa hapa Dar upinzani umekaliwa vibaya, naamini kungekuwa na utaratibu wa kuachiana basi Mtatiro angemuachia Myika Ubungo. Na Mdee angemuachia Mbatia MbeziPumba
Crap