Kifo cha Nyaisanga kinatukumbusha jinsi idadi ya watangazi mahiri inavyozidi kwisha na kubaki na kundi la vimeo. Watangazaji vimeo ni pamoja na,. .. Said Kilumanga, Kipanya Orest Kawau ( magic fm), Abdala Mwaipaya na Kitenge (redio one), Akilimali, Anord Kayanda, Mwabulambo, Chilewa, Maestro na wengine wengi.. Hawa uwezo wa lugha na upeo ni mdogo lakini wana mbwembee. Taja wengine..