Wajumbe Bunge la katiba waanza kuapa

Wajumbe Bunge la katiba waanza kuapa

Kikuyumbo

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
391
Reaction score
93
Wajumbe wa bunge maalumu la katiba wameanza leo kula kiapo cha uaminifu na sehemu ya mwisho ya kiapo hicho inasema, "... nitafanya kazi zinazonihusu bila upendeleo..."
Swali ni je, hawa walioingia kwenye bunge hilo na misimamo yao watafanya kazi kweli bila upendeleo?
 
Back
Top Bottom