Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari wadau,
Leo nikiwa hapa mjini Dodoma nilipata nafasi ya kuongea na dereva mmoja wa mjumbe wa bunge la katiba ambae pia ni mbunge wa bunge la Jamuhuri kutoka Zanzibar, na akanidokeze kuwa hakuna mpango wa hao waheshimiwa kuongezewa posho na pia kuna mpango wa kupunguza posho kwa wajumbe wa Zanzibar wanaolipwa sh 420,000 kwa siku.
Pia dereva huyo kanidokeza kuwa kwa wale ambao wanaona posho haitoshi wanatakiwa waache.
NB:Hii ni tetesi tu,kwahiyo ichukulie kama ilivyo.
Leo nikiwa hapa mjini Dodoma nilipata nafasi ya kuongea na dereva mmoja wa mjumbe wa bunge la katiba ambae pia ni mbunge wa bunge la Jamuhuri kutoka Zanzibar, na akanidokeze kuwa hakuna mpango wa hao waheshimiwa kuongezewa posho na pia kuna mpango wa kupunguza posho kwa wajumbe wa Zanzibar wanaolipwa sh 420,000 kwa siku.
Pia dereva huyo kanidokeza kuwa kwa wale ambao wanaona posho haitoshi wanatakiwa waache.
NB:Hii ni tetesi tu,kwahiyo ichukulie kama ilivyo.