Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Sawa mkuu. Ila hebu nielimishe, hiyo difference ya 120,000 kwa wabunge wa zanzibar wanalipwa na nani? Serikali yao ndo imetop-up au ni toka mfuko huo huo unaowalipa hawa wa tanganyika?
Sawa mkuu. Ila hebu nielimishe, hiyo difference ya 120,000 kwa wabunge wa zanzibar wanalipwa na nani? Serikali yao ndo imetop-up au ni toka mfuko huo huo unaowalipa hawa wa tanganyika?
Kingmairo,
Unahitaji kueleweshwa kwamba wenzetu hao wanatoka nchi ya ugenini? Kule ni nchi nyingine kabisa, wapo ugaibuni hapo Dodoma. Utawalinganishaje na hayo ya Tanganyika? Kama hawatapoozwa na hiyo tofauti, wanaweza kuamua kuukataa muungano na kudai Zanziba huru. Amah!
Wao wanayo Katiba yao, wameletwa kama Matx wanaujuzi mkuu wa kuandika katiba, we vipi? Unaudharau ujuzi?
Hah ha ha ha, mkuu sijaudharau u-tx, kwanza mie ni muumini mkubwa wa uskills wa matx. Nlikuwa sina uhakika ni nani hasa anawalipa iyo additional amount. Kama ingekuwa ni mfuko huo huo mmoja unawalipa baadhi 300k na unalipa wengine 420k, ingekuwa sio fair! I mean madai ya hawa wa tanganyika yangekuwa valid.
Acheni kuzuga watu, Inaeleweka wazi kuwa mchakato wa katiba ni shinikizo la mataifa na jumuiya za madola. Hiyo pesa pia ni mfuko wa kuisaidia afrika kwa masuala ya maendeleo. Norway na UN wanasaidia katika kuwalipa wabunge wa katiba . Hamna pesa ya tanzania hapo. Ni msaada wa nje.
Reliable sourceKwa maelezo ya huyo dereva ni kuwa wajumbe kutoka Zanzibar wanalipwa na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar(SMZ).