MEKADDISHKEM Senior Member Joined Sep 15, 2016 Posts 148 Reaction score 144 Jul 26, 2020 #1 Wote tumeshuhudia katika mchakato huu wa kura za maoni wajumbe wakifanya Yao Wamekula vichwa mwendo wa spana tu Itoshe kusema wajumbe ni wajuba walio changamkaView attachment 1516983
Wote tumeshuhudia katika mchakato huu wa kura za maoni wajumbe wakifanya Yao Wamekula vichwa mwendo wa spana tu Itoshe kusema wajumbe ni wajuba walio changamkaView attachment 1516983
koncho77 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 7,789 Reaction score 10,388 Jul 26, 2020 #2 ahahah wameunga mkono juhudi hamna kukata tena
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Jul 26, 2020 #3 Kyela moja hiyo, Mwakyembe chali na degree zake kikundi
Drone Camera JF-Expert Member Joined Jul 25, 2017 Posts 14,041 Reaction score 13,907 Jul 26, 2020 #4 Na watumishi waliotia nia watafute namna ya kusurvive mwezi huu.
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Jul 26, 2020 #5 stand tukielekea mji mkuu.View attachment 1517164 Attachments IMG-20200725-WA0035.jpg 81.4 KB · Views: 3
Viol JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 25,420 Reaction score 18,298 Jul 26, 2020 #6 Hao wajumbe sio wajinga kama stive nyerere na mwijaku wanavyosema. Hao majamaa wamepiga kura kwa watoa hela,tupo nao mtaani hata jana wamepiga kura za madiwani,inshort wakati huu wa uchaguzi wanakula bata vizuri
Hao wajumbe sio wajinga kama stive nyerere na mwijaku wanavyosema. Hao majamaa wamepiga kura kwa watoa hela,tupo nao mtaani hata jana wamepiga kura za madiwani,inshort wakati huu wa uchaguzi wanakula bata vizuri