Pia wapo ma Dr wa ulozi na uponyaji Mshana Jr , kuna wanafiki kama BAK, kuna wengine waongowaongo ka Sky Eclat etcMungu ni mwema leo rasmi nimekuwa mmoja wa familia kubwa ya Jamii forum.. Nimevutiwa na Mada na fursa mbalimbali ndani ya jukwaa huru.. Hongereni sana watangulizi mchango wenu nimkubwa sana.. Kama kijana nitarajia mengi mazuri kutoka kwenu Wajumbe.. NAOMBENI MNIPOKEE
Si unajua kambi yetu ya CCM sasa tunatamba mitaani ni muhimu kutia sumu wapinzani wasipate nafasihahahhahha mkuu ,naona unamjaza sumu kijana wetuπππππ
Ahsante sanaKaribu sana mkuu,lakni usirudie tena kutuita wajumbe.
Enjoy jf
Ahsante sanaKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
AhsanteKaribu
Kwanini ulibadili ID mkuu?Ahsante
Bwana wee..!! ID ipi ?Kwanini ulibadili ID mkuu?