Wajumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa Wanaowakilisha Vyuo na Vyuo vikuu Taifa wafanya ziara Bodi ya Mikopo (HESLB)

Wajumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa Wanaowakilisha Vyuo na Vyuo vikuu Taifa wafanya ziara Bodi ya Mikopo (HESLB)

informer 06

Member
Joined
May 11, 2024
Posts
66
Reaction score
49
Wajumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa wanaotokana na Vyuo na Vyuo Vikuu Nchini Tanzania leo Wametembelea Bodi ya Mikopo Ya Elimu ya Juu na Kukutana Na Mkurugenzi DR Bill Kiwia.

IMG_5612.jpeg

Imeelezwa kuwa lengo la Ziara hiyo ilikuwa ni kukutana na Wataalamu wa bodi na kuona ni namna Gani Wamejipanga kuhakikisha Vijana wanaoenda Vyuoni wanapata Mikopo kwa Wakati Bila Usumbufu

Mkurugenzi DR Bill Kiwia ameahidi kuendelea Kutoa Ushirikiano kwa Wajumbe wa Baraza Kuu Taifa na Kuwahakikishia kuwa dhima ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kutaka Wanafunzi wote wenye sifa ya kupata Mkopo waipate kwa wakati.

Pia Mkurugenzi Amewashukuru Wajumbe wa Baraza Kuu Taifa Kwa kutembelea Ofisi hiyo iliyoelezwa kugusa maslahi ya Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Moja kwa moja

Pia soma KERO - Wanafunzi UDSM tuliokosa mikopo 2023 na waliopata mikopo kidogo tunaambiwa lazima tuwe na Kadi ya CCM ndio tutahudumiwa
 
Grooming arena....


Najivunia kuwa miongoni mwa wa mwanzo na shirikisho la vyuo vikuu CCM early days....

Wishing the best compatriots [emoji7]

#Upili wa Nchi na CCM[emoji7][emoji7]
 
Wajumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa wanaotokana na Vyuo na Vyuo Vikuu Nchini Tanzania leo Wametembelea Bodi ya Mikopo Ya Elimu ya Juu na Kukutana Na Mkurugenzi DR Bill Kiwia.


Imeelezwa kuwa lengo la Ziara hiyo ilikuwa ni kukutana na Wataalamu wa bodi na kuona ni namna Gani Wamejipanga kuhakikisha Vijana wanaoenda Vyuoni wanapata Mikopo kwa Wakati Bila Usumbufu

Mkurugenzi DR Bill Kiwia ameahidi kuendelea Kutoa Ushirikiano kwa Wajumbe wa Baraza Kuu Taifa na Kuwahakikishia kuwa dhima ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kutaka Wanafunzi wote wenye sifa ya kupata Mkopo waipate kwa wakati.

Pia Mkurugenzi Amewashukuru Wajumbe wa Baraza Kuu Taifa Kwa kutembelea Ofisi hiyo iliyoelezwa kugusa maslahi ya Wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu Moja kwa moja

Pia soma KERO - Wanafunzi UDSM tuliokosa mikopo 2023 na waliopata mikopo kidogo tunaambiwa lazima tuwe na Kadi ya CCM ndio tutahudumiwa
[emoji7][emoji7]
 
Comrade aliyevaa shirt nyeupe hajavaa miwani 👍 Mpambania chama kwel!
 
Back
Top Bottom