Wajumbe wa Bunge la Katiba kulipwa sh. 300,000 kwa siku ,ivi ni sahihi ? .

Wajumbe wa Bunge la Katiba kulipwa sh. 300,000 kwa siku ,ivi ni sahihi ? .

Nelson Kileo

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2011
Posts
3,053
Reaction score
3,259
Kwa maisha magumu tulionayo watanzania tulio wengi , ukosefu wa ajira kwa vijana ,mishahara midogo kwa watu muhimu kama madaktari na walimu ,ukosefu wa huduma muhimu lakini ndani ya nchi hihi hihi bado kuna watu wanapomea Tsh 300000 kwa siku na serikali imebariki kabisa swala hilo .. tena wapokeaji ndio hao hao wanajiita wazalendo na wenye uchungu na hii nchi .. kwelii ni sahihi ..
Mbona wapo wengi tu ambao wangeweza kuingia kwnye bunge la katiba hata bila malipo ..wakiamini wanachokifanya ni kwa manufaa ya nchi yao .
Kweli nazidi kuamini kamati ipo kwa maswahi na si kwa kupanbania katiba mpya .
Kwa kujali wajumbe mngekataa posho hizzo kama mfano aliouonyesha ZZK .
 
Kama hii ni kweli basi naendelea kuamini tatizo la nchi maskini ni viongozi wake na allocation of resources, nchi nyingi maskini viongozi huwa wanapata Kile wanachotaka na sio wanachostahili ,(get what they want not what they deserve) ... Uzalendo ni kitu muhimu sana ,
 
Kama hii ni kweli basi naendelea kuamini tatizo la nchi maskini ni viongozi wake na allocation of resources, nchi nyingi maskini viongozi huwa wanapata Kile wanachotaka na sio wanachostahili ,(get what they want not what they deserve) ... Uzalendo ni kitu muhimu sana ,

imepunguzwa kutoka Tsh 700000 to Tsh 300000
 
Mwl. ngazi ya cheti hata laki tatu hafiki anafanya kazi siku 30,mwanasiasa sk 1 300000.Hii nchi haitendi haki kabisa vituo vya afya dawa hamna kweli hii ndio tanzania.
 
msituonee wivu hapo laki 3 nitatumia vitu vyangu na nitairudisha kidogokidogo kwa kodi mbona ela ndogo tena haitoshi
 
me nahic kuna kuhitaji upendeleo katika ngaz flani ya serikali au chama kwani hii si pesa ya kumpa mtu m1 kwa siku tena kwa nchi yenye madeni ya kutisha.
 
Back
Top Bottom