Wakuu, nimesikia redioni kuwa kuna gazeti lina majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba na Taaluma zao....Naomba mwenye link ya gazeti lenye hiyo habari, au kama anaweza kukopi na kupesti hapa....Asante..!
Wakuu, nimesikia redioni kuwa kuna gazeti lina majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba na Taaluma zao....Naomba mwenye link ya gazeti lenye hiyo habari, au kama anaweza kukopi na kupesti hapa....Asante..!