ASCUDA T
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 120
- 33
tsh 300000 times 70 days times 600 members ni tsh billion 12.6 na ushee lakini kama watalipwa tsh 500000 kutakuwa na ongezeko la 8.4 tsh billion. embu wajumbe wa bunge la katika kuweni na huruma 8.4 billion zitasahidia taifa kwa majukumu mengine. bac zipelekwe hata kulipa madeni ya walimu. Au Mnasemaje Wachumia Tumbo Eeee Au Kama Vp Anaeona Ndogo Apite Hv