Wajumbe wa CHADEMA Mna Nafasi Kubwa ya Kukitoa Chama Kutoka Kwenye Familia, na Kukikabidhi kwa Wanachama

Wajumbe wa CHADEMA Mna Nafasi Kubwa ya Kukitoa Chama Kutoka Kwenye Familia, na Kukikabidhi kwa Wanachama

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Uchaguzi wa Taifa wa CHADEMA, umekuwa ni jambo la heri sana. Ndio uchaguzi uliowafanya watu wengi wayatambue madudu ya baadhi ya viongozi.

Ni uchaguzi uliowaamsha wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali, kutambua kuwa kumbe hata ndani ya CHADEMA kuna takataka nyingi ambazo zipo ndani ya CHADEMA kwaajili ya maslahi. Mambo ya jumla yaliyofichuliwa na uchaguzi huu:

1) Mifumo ya pesa ipo ovyo sana, na kuna kikundi kidogo makao makuu kinajimilikisha pesa ya chama.

2) Kuna watu ndani ya CHADEMA, wanaifanya CHADEMA ni mali yao, na hivyo wanaweza kufanya lolote watakalo, na wengine wote hawatakiwi kusema kitu.

3) Ndani ya chama, miongoni mwa viongozi, wapo wahuni, lakini kwa kuwa wanatumiwa na makao makuu, wanapachikwa kwenye nafasi za uongozi kwenye mikoa na kanda, pamoja na ubuni wao. Ntobi ni mfano mmojawapo..

NB: Uchaguzi wa safari hii ndiyo nafasi pekee ya chama kutoka kwenye mikono ya kikundi kidogo na kukipeleka kwa wanachama wote. Hilo litafanikiwa kwa kuwaondoa wote waliojimilikisha chama na fedha ya chama, kwenye nafasi za uongozi. Na jukumu hilo muhimu na zito lakini lililo muhimu sana, wamepewa wajumbe.

Wajumbe lazima mkumbuke kuwa aliyeyatengeneza matatizo hawezi kuyamaliza. Tunahitaji watu wengine.

MBOWE TUMPUMZISHE.

TUNDU LISU, Heche, na wajumbe wengine kama Rose Mayemba wakabidhiwe uongozi wa chama ili wasimanie mabadiliko
 
Tulieni,

Chama cha familia kiwatoe roho loosers...
 
Uchaguzi wa Taifa wa CHADEMA, umekuwa ni jambo la heri sana. Ndio uchaguzi uliowafanya watu wengi wayatambue madudu ya baadhi ya viongozi.

Ni uchaguzi uliowaamsha wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali, kutambua kuwa kumbe hata ndani ya CHADEMA kuna takataka nyingi ambazo zipo ndani ya CHADEMA kwaajili ya maslahi. Mambo ya jumla yaliyofichuliwa na uchaguzi huu:

1) Mifumo ya pesa ipo ovyo sana, na kuna kikundi kidogo makao makuu kinajimilikisha pesa ya chama.

2) Kuna watu ndani ya CHADEMA, wanaifanya CHADEMA ni mali yao, na hivyo wanaweza kufanya lolote watakalo, na wengine wote hawatakiwi kusema kitu.

3) Ndani ya chama, miongoni mwa viongozi, wapo wahuni, lakini kwa kuwa wanatumiwa na makao makuu, wanapachikwa kwenye nafasi za uongozi kwenye mikoa na kanda, pamoja na ubuni wao. Ntobi ni mfano mmojawapo..

NB: Uchaguzi wa safari hii ndiyo nafasi pekee ya chama kutoka kwenye mikono ya kikundi kidogo na kukipeleka kwa wanachama wote. Hilo litafanikiwa kwa kuwaondoa wote waliojimilikisha chama na fedha ya chama, kwenye nafasi za uongozi. Na jukumu hilo muhimu na zito lakini lililo muhimu sana, wamepewa wajumbe.

Wajumbe lazima mkumbuke kuwa aliyeyatengeneza matatizo hawezi kuyamaliza. Tunahitaji watu wengine.

MBOWE TUMPUMZISHE.

TUNDU LISU, Heche, na wajumbe wengine kama Rose Mayemba wakabidhiwe uongozi wa chama ili wasimanie mabadiliko
Point sana hii
 
Uchaguzi wa Taifa wa CHADEMA, umekuwa ni jambo la heri sana. Ndio uchaguzi uliowafanya watu wengi wayatambue madudu ya baadhi ya viongozi.

Ni uchaguzi uliowaamsha wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali, kutambua kuwa kumbe hata ndani ya CHADEMA kuna takataka nyingi ambazo zipo ndani ya CHADEMA kwaajili ya maslahi. Mambo ya jumla yaliyofichuliwa na uchaguzi huu:

1) Mifumo ya pesa ipo ovyo sana, na kuna kikundi kidogo makao makuu kinajimilikisha pesa ya chama.

2) Kuna watu ndani ya CHADEMA, wanaifanya CHADEMA ni mali yao, na hivyo wanaweza kufanya lolote watakalo, na wengine wote hawatakiwi kusema kitu.

3) Ndani ya chama, miongoni mwa viongozi, wapo wahuni, lakini kwa kuwa wanatumiwa na makao makuu, wanapachikwa kwenye nafasi za uongozi kwenye mikoa na kanda, pamoja na ubuni wao. Ntobi ni mfano mmojawapo..

NB: Uchaguzi wa safari hii ndiyo nafasi pekee ya chama kutoka kwenye mikono ya kikundi kidogo na kukipeleka kwa wanachama wote. Hilo litafanikiwa kwa kuwaondoa wote waliojimilikisha chama na fedha ya chama, kwenye nafasi za uongozi. Na jukumu hilo muhimu na zito lakini lililo muhimu sana, wamepewa wajumbe.

Wajumbe lazima mkumbuke kuwa aliyeyatengeneza matatizo hawezi kuyamaliza. Tunahitaji watu wengine.

MBOWE TUMPUMZISHE.

TUNDU LISU, Heche, na wajumbe wengine kama Rose Mayemba wakabidhiwe uongozi wa chama ili wasimanie mabadiliko
Na pesa za ruzuku Toka serikalini itafaa zifutwe kwenye vyama, maana ni kuharibu Kodi tunazolipa tu !
 
Uchaguzi wa Taifa wa CHADEMA, umekuwa ni jambo la heri sana. Ndio uchaguzi uliowafanya watu wengi wayatambue madudu ya baadhi ya viongozi.

Ni uchaguzi uliowaamsha wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali, kutambua kuwa kumbe hata ndani ya CHADEMA kuna takataka nyingi ambazo zipo ndani ya CHADEMA kwaajili ya maslahi. Mambo ya jumla yaliyofichuliwa na uchaguzi huu:

1) Mifumo ya pesa ipo ovyo sana, na kuna kikundi kidogo makao makuu kinajimilikisha pesa ya chama.

2) Kuna watu ndani ya CHADEMA, wanaifanya CHADEMA ni mali yao, na hivyo wanaweza kufanya lolote watakalo, na wengine wote hawatakiwi kusema kitu.

3) Ndani ya chama, miongoni mwa viongozi, wapo wahuni, lakini kwa kuwa wanatumiwa na makao makuu, wanapachikwa kwenye nafasi za uongozi kwenye mikoa na kanda, pamoja na ubuni wao. Ntobi ni mfano mmojawapo..

NB: Uchaguzi wa safari hii ndiyo nafasi pekee ya chama kutoka kwenye mikono ya kikundi kidogo na kukipeleka kwa wanachama wote. Hilo litafanikiwa kwa kuwaondoa wote waliojimilikisha chama na fedha ya chama, kwenye nafasi za uongozi. Na jukumu hilo muhimu na zito lakini lililo muhimu sana, wamepewa wajumbe.

Wajumbe lazima mkumbuke kuwa aliyeyatengeneza matatizo hawezi kuyamaliza. Tunahitaji watu wengine.

MBOWE TUMPUMZISHE.

TUNDU LISU, Heche, na wajumbe wengine kama Rose Mayemba wakabidhiwe uongozi wa chama ili wasimanie mabadiliko
Ban imekwisha nimerudi tena JF 😁 nilipo waambia chadema kuwa mbowe ni muhuni na mpumbavu mliniona mimi ndiyo mpumbavu mkabisha ...nilipo sema hapa mauaji ndani ya chadema yanaratibiwa na wanachadema na genge la ccm lililo kuwa kinyume na JPM kwa kushirikiana lengo lilikuwa kumchafua jpm na kuikwamisha nchi na kuwakwamisha wazalendo wa nchi yetu ...sasa hivi lile genge ndiyo limeshika nchi ....na lilisha zoea kuua wazalendo na kukwamisha uzalendo...tena genge lenyewe linaongoza na raia feki na ajenda yao ya kuitia serikali chini ya mikono yao imeshatinia kwa asilimia 80 bado 20 tu ifike 100 .. sasa hivi hilo genge wanavuna pesa za serikali kwa mabilioni na kuzipeleka nje ya nchi na kuzidi kuwa mabilionea..
SASA HIVI NCHI YETU YA TANGANYIKA INAONGOZWA NA ADUI MKUBWA SANA MWENYE SIFA ZOTE ZA UADUI.....SIFA ZAKE NI 👉MTANZANIA FEKI... MZANZIBAR....TENA RAIA FEKI....TENA MZANZIBAR FEKI.....TENA MUARABU KOKO BUSHIRI MUUZA WATUMWA ....TENA MWENYE WAJOMBA OMAN WALIO UZA WATUMWA BABU ZETU ....
 
Ban imekwisha nimerudi tena JF 😁 nilipo waambia chadema kuwa mbowe ni muhuni na mpumbavu mliniona mimi ndiyo mpumbavu mkabisha ...nilipo sema hapa mauaji ndani ya chadema yanaratibiwa na wanachadema na genge la ccm lililo kuwa kinyume na JPM kwa kushirikiana lengo lilikuwa kumchafua jpm na kuikwamisha nchi na kuwakwamisha wazalendo wa nchi yetu ...sasa hivi lile genge ndiyo limeshika nchi ....na lilisha zoea kuua wazalendo na kukwamisha uzalendo...tena genge lenyewe linaongoza na raia feki na ajenda yao ya kuitia serikali chini ya mikono yao imeshatinia kwa asilimia 80 bado 20 tu ifike 100 .. sasa hivi hilo genge wanavuna pesa za serikali kwa mabilioni na kuzipeleka nje ya nchi na kuzidi kuwa mabilionea..
SASA HIVI NCHI YETU YA TANGANYIKA INAONGOZWA NA ADUI MKUBWA SANA MWENYE SIFA ZOTE ZA UADUI.....SIFA ZAKE NI 👉MTANZANIA FEKI... MZANZIBAR....TENA RAIA FEKI....TENA MZANZIBAR FEKI.....TENA MUARABU KOKO BUSHIRI MUUZA WATUMWA ....TENA MWENYE WAZOMBA OMAN WALIO UZA WATUMWA BABU ZETU ....
.Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika
 

Attachments

  • downloadfile.png
    downloadfile.png
    290.1 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1702085740919.jpg
    FB_IMG_1702085740919.jpg
    1.6 KB · Views: 3
NI WE
Uchaguzi wa Taifa wa CHADEMA, umekuwa ni jambo la heri sana. Ndio uchaguzi uliowafanya watu wengi wayatambue madudu ya baadhi ya viongozi.

Ni uchaguzi uliowaamsha wanachama na viongozi wa ngazi mbalimbali, kutambua kuwa kumbe hata ndani ya CHADEMA kuna takataka nyingi ambazo zipo ndani ya CHADEMA kwaajili ya maslahi. Mambo ya jumla yaliyofichuliwa na uchaguzi huu:

1) Mifumo ya pesa ipo ovyo sana, na kuna kikundi kidogo makao makuu kinajimilikisha pesa ya chama.

2) Kuna watu ndani ya CHADEMA, wanaifanya CHADEMA ni mali yao, na hivyo wanaweza kufanya lolote watakalo, na wengine wote hawatakiwi kusema kitu.

3) Ndani ya chama, miongoni mwa viongozi, wapo wahuni, lakini kwa kuwa wanatumiwa na makao makuu, wanapachikwa kwenye nafasi za uongozi kwenye mikoa na kanda, pamoja na ubuni wao. Ntobi ni mfano mmojawapo..

NB: Uchaguzi wa safari hii ndiyo nafasi pekee ya chama kutoka kwenye mikono ya kikundi kidogo na kukipeleka kwa wanachama wote. Hilo litafanikiwa kwa kuwaondoa wote waliojimilikisha chama na fedha ya chama, kwenye nafasi za uongozi. Na jukumu hilo muhimu na zito lakini lililo muhimu sana, wamepewa wajumbe.

Wajumbe lazima mkumbuke kuwa aliyeyatengeneza matatizo hawezi kuyamaliza. Tunahitaji watu wengine.

MBOWE TUMPUMZISHE.

TUNDU LISU, Heche, na wajumbe wengine kama Rose Mayemba wakabidhiwe uongozi wa chama ili wasimanie mabadiliko

NI WEHU PEKEE WANAWEZA KUFIKIRIA CHADEMA ILIKUWA CHAMA CHA FAMILIA
 
Ban imekwisha nimerudi tena JF 😁 nilipo waambia chadema kuwa mbowe ni muhuni na mpumbavu mliniona mimi ndiyo mpumbavu mkabisha ...nilipo sema hapa mauaji ndani ya chadema yanaratibiwa na wanachadema na genge la ccm lililo kuwa kinyume na JPM kwa kushirikiana lengo lilikuwa kumchafua jpm na kuikwamisha nchi na kuwakwamisha wazalendo wa nchi yetu ...sasa hivi lile genge ndiyo limeshika nchi ....na lilisha zoea kuua wazalendo na kukwamisha uzalendo...tena genge lenyewe linaongoza na raia feki na ajenda yao ya kuitia serikali chini ya mikono yao imeshatinia kwa asilimia 80 bado 20 tu ifike 100 .. sasa hivi hilo genge wanavuna pesa za serikali kwa mabilioni na kuzipeleka nje ya nchi na kuzidi kuwa mabilionea..
SASA HIVI NCHI YETU YA TANGANYIKA INAONGOZWA NA ADUI MKUBWA SANA MWENYE SIFA ZOTE ZA UADUI.....SIFA ZAKE NI 👉MTANZANIA FEKI... MZANZIBAR....TENA RAIA FEKI....TENA MZANZIBAR FEKI.....TENA MUARABU KOKO BUSHIRI MUUZA WATUMWA ....TENA MWENYE WAZOMBA OMAN WALIO UZA WATUMWA BABU ZETU ....
AKILI YAKO NA MDUDE HAINA TOFOAUTI
 
Na pesa za ruzuku Toka serikalini itafaa zifutwe kwenye vyama, maana ni kuharibu Kodi tunazolipa tu !


Chama chenye wanachama zaidi ya milioni moja kutegemea Ruzuku peke yake ni upumbavu wa viongozi wake .

Wakilipa ada ya sh. 3000 tu kwa mwaka chama kitakua kimekusanya bil. 3 kwa mwaka . Ukijumlisha na Ruzuku chama hakiwezi kumtegemea mtu mmoja .

Hilo hata CCM wanalalamika kuwa tenda kubwa zote kuna familia kwa sasa ndio wanachukua au wanatafuta marafiki zao ili wapige pesa.
Kinachofanyika ndani ya Chadema ya Mbowe ni kutafuta maadili na sio kusaidia chama. Hakuna mfanyabiashara anayeweza kutoa pesa zake mfukoni na kuzigawa bure . Anachofanya ni kuhakikisha chama hakipati nguvu ya kifedha ili aweze anakopesha kwa riba kubwa hasa kwenye manunuzi. Ndio mchezo anaofanya Mbowe wa Chadema na CCM
 
Huenda pesa ya mama Abdul imeshafanya kazi!
Labda Mungu apindue matokeo!
 
Back
Top Bottom