William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Toka siku ya kwanza Kamati hii ilipotoa Rasimu ya kwanza ya Katiba Mpya nilishauri Rais wa Jamhuri kuifutulia mbali hii kamati kwa sababu, imeanza pole pole ku-behave kama Institution badala ya Kamati tu ya kupokea Mapendekezo na kuyaandika chini that is all, ndio kazi yao ya msingi. Lakini nashangaa jinsi wajumbe wa kamati hiyo walivyoanza kujiingiza kwenye kulazimisha wananchi washiriki wa mabaraza yao kukubali hoja zao wajumbe wa Kamati badala ya kusikiliza tu na kuandika mawazo ya Mabaraza huko Mikoani.
- Majuzi nilikuwa Moshi/Kilimanjaro nimeshuhudia Mjumbe mmoja wa Kamati hiyo Butiku akijaribu kwa nguvu nyingi sana kujaribu kuwalazimisha wananchi kukubali Serikali Tatu, mpaka pale Mwananchi mmoja alipomkomalia kwamba Butiku ni lazima amsikilize hoja zake za Serikali Mbili sio kumlazimisha Serikali Tatu, ndipo Butiku aliporudi nyuma, jana again Mjumbe mwingine wa Kamati hiyo Ali Saleh Ali huko Singida yamemkuta kama hayo ya Butiku baada ya kukomaliwa na mwananchi mmoja anayetaka Serikali Mbili huku mjumbe huyo akijaribu kumlazimisha mwananchi huyo kukubali Serikali Tatu.
- Again, hii Kamati muda wake umesha-expire, walitakiwa tu waandike mapendekezo chini na kutuachia Taifa tuhangaike nayo, lakini badala yake wamekuwa mstari wa mbele sana kujaribu kulazimisha wananchi wakubali matakwa yao wajumbe wa tume na sio mawazo yao wananchi, that is bad ni wakati muafaka sasa kamati ikavunjwa na kupewa shukrani kwa kazi njema ya kukusanya maoni kabla hawajatuletea tafrani. Haitakiwi kuwepo na malumbano katika kupokea mawazo ya wananchi sasa yanapokuwepo malumbano baina ya wananchi na wajumbe wa kamati hiyo ni dalili tosha kwamba tutaishia kupata katiba yenye utata, please let them go now kabla hawajtuchanganya zaidi!!,
Le Mutuz Live In Mbeya!!
williammalecela.blogspot.com

- See more at: http://williammalecela.blogspot.com/#sthash.9G4L8Pcs.dpuf
- Majuzi nilikuwa Moshi/Kilimanjaro nimeshuhudia Mjumbe mmoja wa Kamati hiyo Butiku akijaribu kwa nguvu nyingi sana kujaribu kuwalazimisha wananchi kukubali Serikali Tatu, mpaka pale Mwananchi mmoja alipomkomalia kwamba Butiku ni lazima amsikilize hoja zake za Serikali Mbili sio kumlazimisha Serikali Tatu, ndipo Butiku aliporudi nyuma, jana again Mjumbe mwingine wa Kamati hiyo Ali Saleh Ali huko Singida yamemkuta kama hayo ya Butiku baada ya kukomaliwa na mwananchi mmoja anayetaka Serikali Mbili huku mjumbe huyo akijaribu kumlazimisha mwananchi huyo kukubali Serikali Tatu.
- Again, hii Kamati muda wake umesha-expire, walitakiwa tu waandike mapendekezo chini na kutuachia Taifa tuhangaike nayo, lakini badala yake wamekuwa mstari wa mbele sana kujaribu kulazimisha wananchi wakubali matakwa yao wajumbe wa tume na sio mawazo yao wananchi, that is bad ni wakati muafaka sasa kamati ikavunjwa na kupewa shukrani kwa kazi njema ya kukusanya maoni kabla hawajatuletea tafrani. Haitakiwi kuwepo na malumbano katika kupokea mawazo ya wananchi sasa yanapokuwepo malumbano baina ya wananchi na wajumbe wa kamati hiyo ni dalili tosha kwamba tutaishia kupata katiba yenye utata, please let them go now kabla hawajtuchanganya zaidi!!,
Le Mutuz Live In Mbeya!!
williammalecela.blogspot.com

Mwenyekiti wa tume ya katiba Ali Saleh Ali mjini Singida akijaribu kutumia nguvu nyingi kumlazimisha mwananchi chini akubali Serikali Tatu.
Mjum
Mjum
- See more at: http://williammalecela.blogspot.com/#sthash.9G4L8Pcs.dpuf