Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Seriously kama sio ushirikina ni nini?Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stanslaus Mabula wamefika Chato nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe na kufanya maombi mafupi katika kaburi lake.
View attachment 2938343View attachment 2938344View attachment 2938345View attachment 2938346View attachment 2938347View attachment 2938348View attachment 2938349
No wonder!! Hawa wabunge wote wa 2020 walikuwa hand picked na Dikteta mwenyewe. Kwenda kumshukuru siyo jambo la ajabu.Jinsi muda wa uchaguzi mkuu 2025 unavyokaribia harakati na safari za kutembelea kaburi unaongezeka, Kuna nini kule kaburini?
tulia kijana fanya yako huu mchezo hauhitaji hasira relax kabisa fanya yako mambo magumu haya hayaeleweki kwa vilazaSeriously kama sio ushirikina ni nini?
Sasa mzoga unaweza kutatua shida za, wananchi? Unatembelea mzoga, mzimu ili utatue shida za, wananchi?
Sasa nyie ccm, niambieni mzoga wa, maghu, unaweza vipi kutupa sayansi ya kilimo, artificial intelligence, ajira za kutosha, kufanya makampuni kama google, meta, Microsoft yafungue ofisi bongo, kuondoa ufisadi na rushwa,
So pathetic,
Huo mzimu umewafunulia nini sasa!? Si Bora kwenda kwa mwamposa ulale uwanjani nje, umekumbatia chupa ya maji ya afya! Iliyoombewa ikutatulie shida zako zote, kuanzia mwenza wa maisha, na fedha!
Kumbe!No wonder!! Hawa wabunge wote wa 2020 walikuwa hand picked na Dikteta mwenyewe. Kwenda kumshukuru siyo jambo la ajabu.
Ila waambie tu 2025 90% ya hao hawatakuwapo
Huo nao ni mzimu kama huo mwingine tu.Si Bora kwenda kwa mwamposa ulale uwanjani nje, umekumbatia chupa ya maji ya afya! Iliyoombewa ikutatulie shida zako zote, kuanzia mwenza wa maisha, na fedha!
Haisaidii kitu hata wangeenda Wajumbe wa UNJinsi muda wa uchaguzi mkuu 2025 unavyokaribia harakati na safari za kutembelea kaburi unaongezeka, Kuna nini kule kaburini?
Magufuli mtu kama aliwahi fanya jema lolote kwako kaa mbali na kujifanya unamkana au kumdharau akiwa hai au kafa safari ya mtu ya kisiasa mbeleni yaweza kuwa giza tupuHuyo mama anasalia mpaka kupiga magoti kabisa! Itakuwa ameguswa mnoo
Hao wanaoenda kumsumbua wa mwache apumzikeNaona wameshajua yule mama analipeleka gari uelekeo tofauti na sasa wameenda kutubu.
Wanafiki wakubwa hao.wakiwa bungeni wannanga.nchi ngumu sana hiiWajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stanslaus Mabula wamefika Chato nyumbani kwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe na kufanya maombi mafupi katika kaburi lake.
View attachment 2938343View attachment 2938344View attachment 2938345View attachment 2938346View attachment 2938347View attachment 2938348View attachment 2938349
Seriously kama sio ushirikina ni nini?
Sasa mzoga unaweza kutatua shida za, wananchi? Unatembelea mzoga, mzimu ili utatue shida za, wananchi?
Sasa nyie ccm, niambieni mzoga wa, maghu, unaweza vipi kutupa sayansi ya kilimo, artificial intelligence, ajira za kutosha, kufanya makampuni kama google, meta, Microsoft yafungue ofisi bongo, kuondoa ufisadi na rushwa,
So pathetic,
Huo mzimu umewafunulia nini sasa!? Si Bora kwenda kwa mwamposa ulale uwanjani nje, umekumbatia chupa ya maji ya afya! Iliyoombewa ikutatulie shida zako zote, kuanzia mwenza wa maisha, na fedha!
Babako mwenyewe ni mzogaSeriously kama sio ushirikina ni nini?
Sasa mzoga unaweza kutatua shida za, wananchi? Unatembelea mzoga, mzimu ili utatue shida za, wananchi?
Sasa nyie ccm, niambieni mzoga wa, maghu, unaweza vipi kutupa sayansi ya kilimo, artificial intelligence, ajira za kutosha, kufanya makampuni kama google, meta, Microsoft yafungue ofisi bongo, kuondoa ufisadi na rushwa,
So pathetic,
Huo mzimu umewafunulia nini sasa!? Si Bora kwenda kwa mwamposa ulale uwanjani nje, umekumbatia chupa ya maji ya afya! Iliyoombewa ikutatulie shida zako zote, kuanzia mwenza wa maisha, na fedha!