mshumbue-soi
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,842
- 1,148
Heshima kwenu
Hoja ya wajumbe wa katiba kuacha walichopaswa kujadili KANUNI za kuendesha bunge la katiba na hata kuonyesha kilichowapeleka Dodoma ni katiba kama kipaumbele na sio posho kwa kuwa bunge la kawaida posho yake haifikii waliyopewa licha ya kutaka zaidi.
Imebainika ni kutokana pia na wenzao kutoka Tanzania visiwani kulipwa zaidi ya posho ya laki tatu.
Je? Kwanini wanaotoka Tanzania Visiwani iliamuliwa walipwe zaidi?
Waliofanya maamuzi hayo walikuwa na hoja gani ya msingi ya kuwabagua kwa njia ya tofauti za posho au walitaka wajumbe wajadili sana hata 75 % posho badala ya Kanuni ili mwisho iweje.
Kwa kuwa wanajamvi wana
uwezo wa kuanzia walipoishia na kubaini nia ya mjadala uwe posho badala ya Rasimu.
Kulikoni kuwapa wengine zaidi?
Nawasilisha
Hoja ya wajumbe wa katiba kuacha walichopaswa kujadili KANUNI za kuendesha bunge la katiba na hata kuonyesha kilichowapeleka Dodoma ni katiba kama kipaumbele na sio posho kwa kuwa bunge la kawaida posho yake haifikii waliyopewa licha ya kutaka zaidi.
Imebainika ni kutokana pia na wenzao kutoka Tanzania visiwani kulipwa zaidi ya posho ya laki tatu.
Je? Kwanini wanaotoka Tanzania Visiwani iliamuliwa walipwe zaidi?
Waliofanya maamuzi hayo walikuwa na hoja gani ya msingi ya kuwabagua kwa njia ya tofauti za posho au walitaka wajumbe wajadili sana hata 75 % posho badala ya Kanuni ili mwisho iweje.
Kwa kuwa wanajamvi wana
uwezo wa kuanzia walipoishia na kubaini nia ya mjadala uwe posho badala ya Rasimu.
Kulikoni kuwapa wengine zaidi?
Nawasilisha