Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Habari wadau!
Ni vizuri watu wakaelewa ni kina nani hasa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA wana sifa za kushiriki kwenye huo mkutano wenye wajumbe wapatao 1,200(nilivyosikia).
Binafsi nafahamu baadhi ya wajumbe ni kama vile wenyeviti na makatibu ngazi ya wilaya, mkoa na kanda pamoja na Viongozi wa BAVICHA, BAWACHA,n.k.
Mwenye list kamali atuwekee hapa.
Ni vizuri watu wakaelewa ni kina nani hasa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA wana sifa za kushiriki kwenye huo mkutano wenye wajumbe wapatao 1,200(nilivyosikia).
Binafsi nafahamu baadhi ya wajumbe ni kama vile wenyeviti na makatibu ngazi ya wilaya, mkoa na kanda pamoja na Viongozi wa BAVICHA, BAWACHA,n.k.
Mwenye list kamali atuwekee hapa.