wajuuvi njooni hapa

wajuuvi njooni hapa

mbuyake

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2013
Posts
293
Reaction score
510
kuna ushauri nimeombwa nikamjibu navyojua pia nataka kuskia kutoka kwenu pia.ipo hivi,,,kuna dada mmoja siku ya tarehe moja decemba alikutana na mpenzi wake kimwili bila kinga ,masaa 73 baadae akameza p2 akihofia mimba maana siku zilimchanganya na p2 alimeza baada ya kuambiwa inaweza kufanya kazi wakati mwingine hadi 96hrs,tarh 12 akapima upt ikawa negative ,tarhe 20 decemba tena ikawa negative,je aliniuliza kuna haja ya kupima tena kwa mara nyingine? anaonekana ana hofu sana kuhusu kupata ujauzito.
 
Wakati unashusha kojo ulikandamiza au uligusa juu juu tu tuanzie hapo.
 
Ila ww na huyo Dada ni Mabogus kwakweli sasa kama vipimo vipo na vinaonyesha Negative anataka ushaur wa nn tena kwani sisi ndio Vipimo.
Akaulize vipimo.
 
Ila ww na huyo Dada ni Mabogus kwakweli sasa kama vipimo vipo na vinaonyesha Negative anataka ushaur wa nn tena kwani sisi ndio Vipimo.
Akaulize vipimo.
kapima ndio na kapata negative kama awamu mbili tofauti sasa swali kwa wataalamu wa afya ni kwamba kama alivyoeleza hapo je kwa muda aliosubiri amewahi sana au yupo sawa asipime tena aamini hana mimba?
 
mim
Kijana usiogope kuleaa mimba upate mtt
mimi mzee mwenzako si unajua uzee ni hazina hivyo na mimi kama hazina nimekuta naombwa ushauri hivyo nikaongopa navyojua halafu nikasema nitaenda kuhakiki nilichoshauri kutoka kisima cha maarifa yaani JF
 
Yupo salama kabisa .

Ila ushauri mwingine mzuri mwambie awe makini na hizo zinaitwa P2 maana zina side feects pia ambazo sio nzuri Sana.

Kwa sasa madaktari wanaopata Sana pesa ni hawa madaktari wa akina mama . na tatizo kubwa ni kuwa hawapati mimba (ujauzito)

Anauwezo wa kutumia calendar vizuri na akajiepusha na kushika mimba.

So ajaribu kufikiria na hilo swala.
 
Back
Top Bottom