Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 703
Wandugu JF,
Aisee kuna plot yangu nilinunua Salasala kilima Hewa miaka 7 iliyopita, kulikuwa kuzuri ila sasa naona baada ya ujenzi wa watu mbali mbali na kulingana na nature ya Hapa ni slope sana hivyo naona haka kamfereji kalikuwa Maghatibi mwa Plot yangu, na hakikunipa shaka mwanzoni ila ni kama vile kamekuja kuwa mtaro sasa, na unazidi chimbika kwenda chini sana mwanzoni nilichukulia kuwa ni mifereji ya kawaida kulingana na vilima vya huku nikaamini ni lazima kuwe kuna chanel za maji ya kutoka majumbani kwa watu yapite somewhere.
Sasa nimekuja kwenda site baada ya miaka mingi juzi nakuta ule mfereji umechimbika kwenda chini kwa ongezeko la mita moja na nusu. Halafu upana wake uneongezeka kwa cm50 kila upande.
Sasa shaka yangu kuu ni kwamba ile deepness yake ikipata erosion Ngema ita dondoka na mfejeji kuwa Bonde kubwa zaidi na kiwanja changu kuanza kuliwa zaidi.. Mwishowe nishindwe kuja kuumudu.
Je, njia gani rahisi ya kuzuia Mtaro huu usizidi kutanuka na ku chimbika zaidi?
Naomba kama kuna aliyefanikiwa kudhibiti Mtaro kwake atume picha hapa kwenye comment ili na mimi nijifunze mbinu tofauti na gharama kama naweza ambiwa gharama za kudhibiti mtaro kwa urefu wa wa mita45 upana mita3 na urefu kwenda chini ni mita 2. Natanguliza shukrani.
Asanteni
View attachment 1697220
Aisee kuna plot yangu nilinunua Salasala kilima Hewa miaka 7 iliyopita, kulikuwa kuzuri ila sasa naona baada ya ujenzi wa watu mbali mbali na kulingana na nature ya Hapa ni slope sana hivyo naona haka kamfereji kalikuwa Maghatibi mwa Plot yangu, na hakikunipa shaka mwanzoni ila ni kama vile kamekuja kuwa mtaro sasa, na unazidi chimbika kwenda chini sana mwanzoni nilichukulia kuwa ni mifereji ya kawaida kulingana na vilima vya huku nikaamini ni lazima kuwe kuna chanel za maji ya kutoka majumbani kwa watu yapite somewhere.
Sasa nimekuja kwenda site baada ya miaka mingi juzi nakuta ule mfereji umechimbika kwenda chini kwa ongezeko la mita moja na nusu. Halafu upana wake uneongezeka kwa cm50 kila upande.
Sasa shaka yangu kuu ni kwamba ile deepness yake ikipata erosion Ngema ita dondoka na mfejeji kuwa Bonde kubwa zaidi na kiwanja changu kuanza kuliwa zaidi.. Mwishowe nishindwe kuja kuumudu.
Je, njia gani rahisi ya kuzuia Mtaro huu usizidi kutanuka na ku chimbika zaidi?
Naomba kama kuna aliyefanikiwa kudhibiti Mtaro kwake atume picha hapa kwenye comment ili na mimi nijifunze mbinu tofauti na gharama kama naweza ambiwa gharama za kudhibiti mtaro kwa urefu wa wa mita45 upana mita3 na urefu kwenda chini ni mita 2. Natanguliza shukrani.
Asanteni
View attachment 1697220