wajuzi naomba majibu yenu

wajuzi naomba majibu yenu

Hardman

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
748
Reaction score
524
kuna hili suala la uanzishwaji wa banks,what is the implication of this tanzania kuna mashirika ya bank mengi to mention afew crdb,nmb cba,boa,dtb,ecobank,benki ya posta,efatha,na mengine mengi ambayo sijayataja,sasa naomba ufafanuzi hii ina maana gani uchumi unapanda au kuna michezo michafu hizo banks zinatuchezea
 
Back
Top Bottom