Nina iphone 8 nimenunua kwa jamaa yangu yupo mbele na alisahau kufuta icloud acc, naomba msaada ufuatao
Iphone naitumia lakini ina Apple acc ya mshkaji.....kuna mambo siwezi fanya bila password ya icloud.
Inawezekana mshkaji akaingi kwenye acc yake ya icloud online kwenye itunes au website na kuiondoa acc yake kwenye hii simu au ni lazima anitumie password? (Hapa ndio ugumu uliopo kukubali kunitumia password yake)
Pili, kuna utundu wowote wa kudownload mp3 za akina shilole na kuzipeleka kwenye library ya Apple music player bila kutumia itunes?
Mwisho simu ina ios 13.5.1 nimejaribu kugoogle sijapata majibu muafaka......inawezekana ku jailbrake hio ios au nyingine za juu yake?
Natanguliza shukurani
Iphone naitumia lakini ina Apple acc ya mshkaji.....kuna mambo siwezi fanya bila password ya icloud.
Inawezekana mshkaji akaingi kwenye acc yake ya icloud online kwenye itunes au website na kuiondoa acc yake kwenye hii simu au ni lazima anitumie password? (Hapa ndio ugumu uliopo kukubali kunitumia password yake)
Pili, kuna utundu wowote wa kudownload mp3 za akina shilole na kuzipeleka kwenye library ya Apple music player bila kutumia itunes?
Mwisho simu ina ios 13.5.1 nimejaribu kugoogle sijapata majibu muafaka......inawezekana ku jailbrake hio ios au nyingine za juu yake?
Natanguliza shukurani