.
Ha! ha! ha! .....
Ken Leeeeeeeeee ......... tulibu dibu douchoo!!!!!!!!!
Bujibuji nilikuwa najua mambo haya wanaimbaga watoto tu ... kumbe hata watu wazima!!
Mkuu Buji ... hebu tupe basi na wewe ulipokuwa mdogo ulikuwa na wimbo wako gani ambao ulikuwa unauimba Kiswa-nglish! ....
.