Bengazuu JF-Expert Member Joined Mar 28, 2013 Posts 1,029 Reaction score 1,236 Sep 15, 2014 #1 nilikua nauliza swali lifuatalo "umahiri wa lugha haushabihiani" jadili
jusper ochieng Member Joined Jun 17, 2014 Posts 47 Reaction score 7 Sep 26, 2014 #2 Kabla sijakujibu.. jaribu kutumia kiswahili viziri... ukisema ya kua ulikua unauliza swali inamaana unachanganya wakati uliopita na wakati uliopo...
Kabla sijakujibu.. jaribu kutumia kiswahili viziri... ukisema ya kua ulikua unauliza swali inamaana unachanganya wakati uliopita na wakati uliopo...
jusper ochieng Member Joined Jun 17, 2014 Posts 47 Reaction score 7 Sep 26, 2014 #3 Jibu la hilo swali lipo katika nyanja ku tano za lugha.... yaaani umahiri wa lugha haushabihiani kutokana na kuwepo kwa tofauti za kimaana... matamshi... msamiati..tofauti za kilahaja.. n.k
Jibu la hilo swali lipo katika nyanja ku tano za lugha.... yaaani umahiri wa lugha haushabihiani kutokana na kuwepo kwa tofauti za kimaana... matamshi... msamiati..tofauti za kilahaja.. n.k