Kama utanunua pesa ya Kenya kwa rate ya 2100Tsh alafu ukanunua dollar kenya kwa rate ya 99ksh. Ukazileta kuuza kwenye berue Tanzania utauza kwa rate ya 2235. Soo 99x21=2079. Dola 1 kenya no saw a na 2079tsh ukiiuza Tanzania faida ni 156 kwa kila dola 1, Kama umenunua dola 500$ faida ni 78000. Karibu mpakani