davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 624
Mimi ni mwanajukwaa mwenzenu japo si wa muda mrefu ila naheshimu Sana jukwaa hili kuwa ni mahali pa kupata maarifa mapya, ushauri kutoka kwa wabobezi.
Kwa kufupisha tu ni kwamba nimekuwa nikijiwekea akiba kidogo kidogo ili walau na mimi muda ukifika nipate japo ka usafiri ka kutembelea.
Sijawahi kumiliki usafiri japo Nina hamu sana ifike siku na mimi nimiliki chombo(gari)
Ombi langu kwenu ni ushauri wenu gari ipi ni nzuri hasa kwa mtu anayeanza kumiliki kwa mara ya kwanza? Binafsi napenda sana brand za Nissani japo wanasema zina gharama kubwa za uendeshaji.
Zipi gari imara,zinazodumu muda mrefu pia zinatumia mafuta kidogo na NI rahisi katika matengenezo yake?
Nategemea kupata milioni 13 kutokana na akiba yangu mwakani.
Je ipi salama,kuagiza au kununua hapa hapa kwa wanaouza gari zao?
ASANTE NI sana kwa muda wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kufupisha tu ni kwamba nimekuwa nikijiwekea akiba kidogo kidogo ili walau na mimi muda ukifika nipate japo ka usafiri ka kutembelea.
Sijawahi kumiliki usafiri japo Nina hamu sana ifike siku na mimi nimiliki chombo(gari)
Ombi langu kwenu ni ushauri wenu gari ipi ni nzuri hasa kwa mtu anayeanza kumiliki kwa mara ya kwanza? Binafsi napenda sana brand za Nissani japo wanasema zina gharama kubwa za uendeshaji.
Zipi gari imara,zinazodumu muda mrefu pia zinatumia mafuta kidogo na NI rahisi katika matengenezo yake?
Nategemea kupata milioni 13 kutokana na akiba yangu mwakani.
Je ipi salama,kuagiza au kununua hapa hapa kwa wanaouza gari zao?
ASANTE NI sana kwa muda wenu
Sent using Jamii Forums mobile app