Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,484
Habarini za asubuhi wanajamvi wenzangu, imani yangu mko salama na tunaendelea kupambana kila kukicha huku tukiombea JF idumu milele.
Naomba kwenda kwenye mada ama ulizo fupi. Kuna rafiki yangu anataka kutengeneza darasa la online na kuna elimu ambayo atakuwa anaitoa japo kwa sasa bado ni siri yake kwanza ila darasa hili litakuwa live streaming ya video kwenye social media mfano YouTube, Instagram, Facebook na kwa wale ambao watakuwa wanatumia Zoom kwa ajili yao private.
Swali langu Je, ni Camera gani ambayo itaweza kummulika yeye mwalimu na ubao wake pasipo kushikiwa kamera hizo na mtu mwingine na kuonekana vizuri kabisa?
Na Camera hizo zitahitaji taa kwa ajili ya kuongezea mwanga na muonekano mzuri?
Karibuni wajuvi na kama upo mtaalaamu wa kuja kufunga kabla hujanifuata PM basi mwagika hapa nipime utaalamu wako huenda pia ukaokota zabibu chini mpera (ajira).
Angalizo usikimbilie kunifuata PM bila kumwagika hapa kwanza jamvini mimi nikiona upo vizuri mwenyewe nitakufuata na kukupa ajira.
Karibuni sana, Yesu anawependa mno na yupo karibu kurudi
Naomba kwenda kwenye mada ama ulizo fupi. Kuna rafiki yangu anataka kutengeneza darasa la online na kuna elimu ambayo atakuwa anaitoa japo kwa sasa bado ni siri yake kwanza ila darasa hili litakuwa live streaming ya video kwenye social media mfano YouTube, Instagram, Facebook na kwa wale ambao watakuwa wanatumia Zoom kwa ajili yao private.
Swali langu Je, ni Camera gani ambayo itaweza kummulika yeye mwalimu na ubao wake pasipo kushikiwa kamera hizo na mtu mwingine na kuonekana vizuri kabisa?
Na Camera hizo zitahitaji taa kwa ajili ya kuongezea mwanga na muonekano mzuri?
Karibuni wajuvi na kama upo mtaalaamu wa kuja kufunga kabla hujanifuata PM basi mwagika hapa nipime utaalamu wako huenda pia ukaokota zabibu chini mpera (ajira).
Angalizo usikimbilie kunifuata PM bila kumwagika hapa kwanza jamvini mimi nikiona upo vizuri mwenyewe nitakufuata na kukupa ajira.
Karibuni sana, Yesu anawependa mno na yupo karibu kurudi