Sijakupata vizuri ulitaka kumaanisha nini !mahusiano mapenzi na urafiki..... hii forum kumbe ina mchanganyiko wa mambo, binafsi sioni uhusiano wa mada hii na forum hii!!!!
Iringa mnajua kula nyama za mbwa. teh! wahehe, wanyalukolo stil primitives!Bila shaka madreva wa Iringa na wengine mliowahi kupita tu mjini hapa mtakubaliana na mimi kuwa watembea kwa miguu tunavitumia vibaya vivuko vyetu, utakuta wa wanapita taratiibu wengine hadi wanaanza kusalimiana katikati ya zebra. Watu wa usalama barabarani jaribu kutuelimisha vinginevyo kutatokea watu kugongwa na madreva wasiokuwa na subira..
Tumekusamehe bure.Iringa mnajua kula nyama za mbwa. teh! wahehe, wanyalukolo stil primitives!
Kwan hamli mbwa nyie? Alafu mnasifika pia kwa kujinyoonga!Tumekusamehe bure.
Asante kwa mchango wako.Kwan hamli mbwa nyie? Alafu mnasifika pia kwa kujinyoonga!
Ucjal mkuu, napafahamu sana iringa those were jokes. LETS GO BACK TO THE TOPIC.Asante kwa mchango wako.