kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Tatizo la ajira linaweza kuwa bomu kubwa zaidi ya vile tulivyodhani. Wasomi wengi wamegeuka wakabaji kwa kujua au kutokujua.
Watanzania wengi wanaibiwa kwa mijadala ya kiingereza. Imeibuka stail ya akina Mangungo, unaletewa makaratasi yameandikwa kizungu unatia sign kuonyesha Kama nawe umesoma kumbe umeliwa. WANASHERIA wetu wengi wanatuingiza chaka, wanatukaba kwa kalamu zao, wamekosa ueledi.
Watanzania wengi wanaibiwa kwa mijadala ya kiingereza. Imeibuka stail ya akina Mangungo, unaletewa makaratasi yameandikwa kizungu unatia sign kuonyesha Kama nawe umesoma kumbe umeliwa. WANASHERIA wetu wengi wanatuingiza chaka, wanatukaba kwa kalamu zao, wamekosa ueledi.