Wakabaji wanaoongea kiingereza

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Tatizo la ajira linaweza kuwa bomu kubwa zaidi ya vile tulivyodhani. Wasomi wengi wamegeuka wakabaji kwa kujua au kutokujua.

Watanzania wengi wanaibiwa kwa mijadala ya kiingereza. Imeibuka stail ya akina Mangungo, unaletewa makaratasi yameandikwa kizungu unatia sign kuonyesha Kama nawe umesoma kumbe umeliwa. WANASHERIA wetu wengi wanatuingiza chaka, wanatukaba kwa kalamu zao, wamekosa ueledi.
 
It seems like you are either a victim or a loser of those english speaking robbers
 
Hili neno kila ninapoliona huwa nacheka sana..

Naunga mkono juhudi
 
Duh mimi nilijua jamaa anakupiga ngeta huku anasema 'quiet,sit down,give me your money'!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…