Hiyo ndio ishara ya kuwa kwenye 'heat'![/QUOTE]
Hebu muombe Preta radhi tafadhali
Leo nimeamka na passion juu yenu, ninasikia kuwapenda sana leo kuliko siku zingine....I dedicate this day to you all, thank you for taking good care for all of us ladies wa JF, mmekuwa mkituchukulia kwa upole na kuonyesha ni kiasi gani mnatujali. Special thanks to Invisible (I love you so much) coz hujawahi kumpa BAN mdada yeyote,hata wewe Malaria Sugu umekuwa kizungumkuti lakini nakupenda pia....:kiss: :kiss: :kiss:
Ladies naomba mpendekeze wimbo wa kuwadedicatia our lovely brothers........
Leo nimeamka na passion juu yenu, ninasikia kuwapenda sana leo kuliko siku zingine....I dedicate this day to you all, thank you for taking good care for all of us ladies wa JF, mmekuwa mkituchukulia kwa upole na kuonyesha ni kiasi gani mnatujali. Special thanks to Invisible (I love you so much) coz hujawahi kumpa BAN mdada yeyote,hata wewe Malaria Sugu umekuwa kizungumkuti lakini nakupenda pia....:kiss: :kiss: :kiss:
Ladies naomba mpendekeze wimbo wa kuwadedicatia our lovely brothers........
mmmmmmh UBARIKIWE.Leo nimeamka na passion juu yenu, ninasikia kuwapenda sana leo kuliko siku zingine....I dedicate this day to you all, thank you for taking good care for all of us ladies wa JF, mmekuwa mkituchukulia kwa upole na kuonyesha ni kiasi gani mnatujali. Special thanks to Invisible (I love you so much) coz hujawahi kumpa BAN mdada yeyote,hata wewe Malaria Sugu umekuwa kizungumkuti lakini nakupenda pia....:kiss: :kiss: :kiss:
Ladies naomba mpendekeze wimbo wa kuwadedicatia our lovely brothers........
He yamekua haya.... kweli dunia ni vijimambo...:bowl:Nitumie namba zako sister,utaniua mtoto wa mwanamke mwenzio!!!
He yamekua haya.... kweli dunia ni vijimambo...:bowl:
mkuu kichaka unataka ukiachie zigo ati.. eh??
bado inaendelea mpaka siku ya kumuapisha rais.....
Cousin... naona hapo kilichokuvutia ni neno "chini"Natumaini umejiandaa kupiga kura jimbo la YAEDA CHINI:smile-big::smile-big:
cousin... Naona hapo kilichokuvutia ni neno "chini"