Karanga Lawfirm
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 162
- 171
Kwamtu anaehitaji kujumua mazao kutoka mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa lakini anakwama kutokana na changamoto za kutojua mazingira sahihi ya wapi pakupa mzigo husika. Tunaweza kufanyanaekazi yakukusanya mzigo kutokea mashambani (vijijini) kwa bei nzuri nakisha kuusafirisha mpaka sehemu ya soko.
Mazao yanayolimwa mikoa tajwa kwa wingi ni mpunga mikoa ya Songwe, Mbeya, na Rukwa, Karanga, Mahindi, maharage, alizeti, parachichi, ndizi, viazi vitamu, bianzi mviringo nk.
Kwaambae anawazo lakufanya au anafanya biashara hii ya kununua mazao anaweza kunicheki DM
Mazao yanayolimwa mikoa tajwa kwa wingi ni mpunga mikoa ya Songwe, Mbeya, na Rukwa, Karanga, Mahindi, maharage, alizeti, parachichi, ndizi, viazi vitamu, bianzi mviringo nk.
Kwaambae anawazo lakufanya au anafanya biashara hii ya kununua mazao anaweza kunicheki DM