Karanga Lawfirm
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 162
- 171
Bei ngapi kwa kilo??.Kwa anaehitaji soya beans Kutoka malawi. karibu sana kyela mbeya zipo zaidi ya tones 300
0765891704
Ntakuuzia kwa 1,530/kgBei ngapi kwa kilo??.
Jambo langu likikamilika nitakucheki mkuuKwamtu anaehitaji kujumua mazao kutoka mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa lakini anakwama kutokana na changamoto za kutojua mazingira sahihi ya wapi pakupa mzigo husika. Tunaweza kufanyanaekazi yakukusanya mzigo kutokea mashambani (vijijini) kwa bei nzuri nakisha kuusafirisha mpaka sehemu ya soko.
Mazao yanayolimwa mikoa tajwa kwa wingi ni mpunga mikoa ya Songwe, Mbeya, na Rukwa, Karanga, Mahindi, maharage, alizeti, parachichi, ndizi, viazi vitamu, bianzi mviringo nk.
Kwaambae anawazo lakufanya au anafanya biashara hii ya kununua mazao anaweza kunicheki DM au simu 0768549206
Wazo chanya sana, changamoto ni kwenye umbali na security ya pesa.! Anyway nitakutafuta tuyajenge mkuuKwamtu anaehitaji kujumua mazao kutoka mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa lakini anakwama kutokana na changamoto za kutojua mazingira sahihi ya wapi pakupa mzigo husika. Tunaweza kufanyanaekazi yakukusanya mzigo kutokea mashambani (vijijini) kwa bei nzuri nakisha kuusafirisha mpaka sehemu ya soko.
Mazao yanayolimwa mikoa tajwa kwa wingi ni mpunga mikoa ya Songwe, Mbeya, na Rukwa, Karanga, Mahindi, maharage, alizeti, parachichi, ndizi, viazi vitamu, bianzi mviringo nk.
Kwaambae anawazo lakufanya au anafanya biashara hii ya kununua mazao anaweza kunicheki DM au simu 0768549206
NitakutafutaKwa anaehitaji soya beans Kutoka malawi. karibu sana kyela mbeya zipo zaidi ya tones 300
0765891704
Msimu huu Boss.
Msimu wa mazao umekaribia, Kwa mahitaji ya soya beans, kunde, karanga, ufuta, mahindi nk....karibuni sana kyela-kasumulu-boda
Tuwasiliane Kwa 0765891704.
Ukiona namba haipatikani basi jaribu Whatsapp kwasababu sometimes tunaingia Malawi so simu zinakua hazipatikani offline.View attachment 2570216View attachment 2570231
Ni vizuri ungeweka na taharifa Zako kamili ili iwe rahisi zaidi kukutafuta na kufanya kazi na weweKwamtu anaehitaji kujumua mazao kutoka mikoa ya Iringa, Njombe, Mbeya, Songwe, Rukwa lakini anakwama kutokana na changamoto za kutojua mazingira sahihi ya wapi pakupa mzigo husika. Tunaweza kufanyanaekazi yakukusanya mzigo kutokea mashambani (vijijini) kwa bei nzuri nakisha kuusafirisha mpaka sehemu ya soko.
Mazao yanayolimwa mikoa tajwa kwa wingi ni mpunga mikoa ya Songwe, Mbeya, na Rukwa, Karanga, Mahindi, maharage, alizeti, parachichi, ndizi, viazi vitamu, bianzi mviringo nk.
Kwaambae anawazo lakufanya au anafanya biashara hii ya kununua mazao anaweza kunicheki DM
Mimi ni munuzi mzuri wa mazao kwa soko la ndani kama utakubali terms na policy za hawa www.digxam.co tufanye biashara sina muda wakupoteza kujadili biasha hewaMsimu wa mazao umekaribia, Kwa mahitaji ya soya beans, kunde, karanga, ufuta, mahindi nk....karibuni sana kyela-kasumulu-boda
Tuwasiliane Kwa 0765891704.
Ukiona namba haipatikani basi jaribu Whatsapp kwasababu sometimes tunaingia Malawi so simu zinakua hazipatikani offline.View attachment 2570216View attachment 2570231
Mimi ni munuzi mzuri wa mazao kwa soko la ndani kama utakubali terms na policy za hawa www.digxam.co tufanye biashara sina muda wakupoteza kujadili biasha hewa
Ingia hapo jisajili weka biashara yako Kisha ni tag Gemima20 weka picha weka bei nitakulipa with 24 hours