Wakala Jasmine Razaq: Medical check up ya wenzetu walioendelea ni Masaa 8, ila hapa Tanzania ni Nusu Saa tu

Wakala Jasmine Razaq: Medical check up ya wenzetu walioendelea ni Masaa 8, ila hapa Tanzania ni Nusu Saa tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Nilipoenda na Mchezaji wangu Fiston Mayele huko Pyramid FC aliko sasa alishangaa vitu vingi na sasa ni Upimwaji wa Afya ambao kwa Wenzetu walioendelea na hata huko Ulaya ni tofauti na hapa Tanzania"

"Mayele alipofika aliambiwa kwanza akalete haja kubwa yake tayari kwa Vipimo. Kiukweli alishangaa mno na akisema kote alikokuwa hakuwa kufanyiwa hivyo"

"Alipomaliza kuleta kinyesi chake vikaanza Vipimo vingine kama Mbavu, Mishipa, Ubongo, Utumbo, Macho, Meno, Tumbo, Ini, Figo na Kipimo cha MRI ambapo Shughuli yote hii huchukua Saa Nane (8) kwa kila Mchezaji"

Nukuu zote hizi nimezitoa EFM Radio Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters kilichoko Hewani sasa ambako Dada (Wakala wa Wachezaji) Jasmine Razaq yuko kwa Mahojiano.

Kuna timu mbili kubwa hapa Tanzania (nimezisahau jina kwa sasa) wao wakiwapeleka Wachezaji wao kwa Vipimo kwa mabasi yao kila Timu hutumia masaa mawili tu kwa Wachezaji 30 walionao na wakimaliza hilo zoezi GENTAMYCINE huanza kukutana nao Vijiwe vya Pombe, Starehe na katika korido za Gesti na Loji.

Kudadadeki halafu mnajidanganya na mnadanganywa kuwa Ligi Kuu yenu ni Bora wakati ndiyo Ligi yenye Uhuni, Usanii na ya hovyo hovyo tupu.
 
1691658314617.jpeg
 
Kuhusu ubora wa ligi wote tunajua ligi yetu haiwezi kuwa namba 5 Africa kwa ubora. Kwa hiyo aache kujifaragua kwamba anajua saaana. Hata sisi tunajua ligi yetu haina vipimo sahihi vya wachezaji. Asilete udwanzi
 
Kuhusu ubora wa ligi wote tunajua ligi yetu haiwezi kuwa namba 5 Africa kwa ubora. Kwa hiyo aache kujifaragua kwamba anajua saaana. Hata sisi tunajua ligi yetu haina vipimo sahihi vya wachezaji. Asilete udwanzi
Hasira za nini juu yake Jasmine Razaq?
 
"Nilipoenda na Mchezaji wangu Fiston Mayele huko Pyramid FC aliko sasa alishangaa Vitu vingi na sasa ni Upimwaji wa Afya ambao kwa Wenzetu walioendelea na hata huko Ulaya ni tofauti na hapa Tanzania"

"Mayele alipofika aliambiwa Kwanza akalete Haja Kubwa yake kisha alete Kinyesj chake tayari kwa Vipimo. Kiukweli alishangaa mno na akisema kote alikokuwa hakuwa kufanyiwa hjvyo"

"Alipomaliza kuleta Kinyesi chake vikaanza Vipimo vingine kama Mbavu, Mishipa, Ubongo, Utumbo, Macho, Meno, Tumbo, Ini, Figo na Kipimo cha MRI ambapo Shughuli yote hii huchukua Saa Nane (8) kwa kila Mchezaji"

Nukuu zote hizi nimezitoa EFM Radio Kipindi cha Michezo cha Sports Headquarters kilichoko Hewani sasa ambako Dada (Wakala wa Wachezaji) Jasmine Razaq yuko kwa Mahojiano.

Kuna Timu Mbili Kubwa hapa Tanzania (nimezisahau Jina kwa sasa) wao Wakiwapeleka Wachezaji wao kwa Vipimo kwa Mabasi yao Kila Timu hutumia Masaa Mawili tu kwa Wachezaji 30 walionao na wakimaliza hilo Zoezi GENTAMYCINE huanza kukutana nao Vijiwe vya Bange / Bangi, Pombe, Starehe na katika Korido za Gesti na Loji.

Kudadadeki halafu mnajidanganya na mnadanganywa kuwa Ligi Kuu yenu ni Bora wakati ndiyo Ligi yenye Uhuni, Usanii na ya hovyo hovyo tupu.
" Gentamycine huanza 'KUKUTANA NAO' kwenye korido za Loji."


Kwa wewe ambae hujasomea Cuba, elewa maana ya neno " KUKUTANA NAO LOJI"

Sijawahi kuona tangazo la biashara limetolewa in a smart way like this.


Mkuu GENTAMYCINE lipia tangazo aisee


Kwa wale mnao taka KUKUTANA na Geny huko loji, goma tayari limeshajiweka sokoni, kazi kwenu mashaababi. Mpewe nini
Zameni pm fasta
 
" Gentamycine huanza 'KUKUTANA NAO' kwenye korido za Loji."


Kwa wewe ambae hujasomea Cuba, elewa maana ya neno " KUKUTANA NAO LOJI"

Sijawahi kuona tangazo la biashara limetolewa in a smart way like this.


Mkuu GENTAMYCINE lipia tangazo aisee


Kwa wale mnao taka KUKUTANA na Geny huko loji, goma tayari limeshajiweka sokoni, kazi kwenu mashaababi. Mpewe nini
Amekimbia mbio
 
"Daktari: Embu fungua mdomo, Fanya Aaah. Aaah, toa ulimi nje. Nenda famasi mwambie akupe hizi dawa."

Imeisha hiyo.
 
" Gentamycine huanza 'KUKUTANA NAO' kwenye korido za Loji."


Kwa wewe ambae hujasomea Cuba, elewa maana ya neno " KUKUTANA NAO LOJI"

Sijawahi kuona tangazo la biashara limetolewa in a smart way like this.


Mkuu GENTAMYCINE lipia tangazo aisee


Kwa wale mnao taka KUKUTANA na Geny huko loji, goma tayari limeshajiweka sokoni, kazi kwenu mashaababi. Mpewe nini
Zameni pm fasta
[emoji23][emoji23]umepiga za mbavu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
" Gentamycine huanza 'KUKUTANA NAO' kwenye korido za Loji."


Kwa wewe ambae hujasomea Cuba, elewa maana ya neno " KUKUTANA NAO LOJI"

Sijawahi kuona tangazo la biashara limetolewa in a smart way like this.


Mkuu GENTAMYCINE lipia tangazo aisee


Kwa wale mnao taka KUKUTANA na Geny huko loji, goma tayari limeshajiweka sokoni, kazi kwenu mashaababi. Mpewe nini
Zameni pm fasta
[emoji23][emoji23]umepiga za mbavu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
" Gentamycine huanza 'KUKUTANA NAO' kwenye korido za Loji."


Kwa wewe ambae hujasomea Cuba, elewa maana ya neno " KUKUTANA NAO LOJI"

Sijawahi kuona tangazo la biashara limetolewa in a smart way like this.


Mkuu GENTAMYCINE lipia tangazo aisee


Kwa wale mnao taka KUKUTANA na Geny huko loji, goma tayari limeshajiweka sokoni, kazi kwenu mashaababi. Mpewe nini
Zameni pm fasta
[emoji23][emoji23]umepiga za mbavu

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom