JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 685
- 1,124
Kifungu cha 52(2) cha Kanuni za Chaguzi za Taifa ( Uchaguzi wa Uraisi na Ubunge), 2020 kinaeleza kuwa:
Endapo wakala wa upigaji kura hatoridhika na maandalizi ya kituo cha upigaji kura atatakiwa kabla ya kuanza kupiga kura atoe malalamiko kwa msimamizi wa kituo au msimamizi msaidizi kupitia Fomu namba 14 kama ilivyoelezwa Katika Taratibu.
Kifungu 52(3) cha Taratibu hizi kinaongeza kuwa Msimamizi mkuu au msimamizi msaidizi wa kituo cha kupiga kura atatatua malalamiko hayo na kubainisha jinsi alivyotatua katika fomu No. 14
Upvote
2