sio azam pekee hata pale yanga ana namba yakeKLABU YOYOTE INAYOMHITAJI BALEKE IJE.
"Klabu yoyote inayomtaka Jean Baleke ikubali kununua kandarasi yake ya mwisho ya miaka miwili (2) kwenda TP Mazembe, sisi tuko wazi kwa changamoto yoyote ile nzuri na sehemu yoyote kama biashara itakuwa ni nzuri."
-FAUSTINO MUKANDILA wakala wa Mchezaji JEAN BALEKE.
... Azam mnachelewa wapi
View attachment 2877063
Kwanini Simba wasimchukuwe na changamoto walizonazo za kujenga timu ?!. Kwanini wengine !!KLABU YOYOTE INAYOMHITAJI BALEKE IJE.
"Klabu yoyote inayomtaka Jean Baleke ikubali kununua kandarasi yake ya mwisho ya miaka miwili (2) kwenda TP Mazembe, sisi tuko wazi kwa changamoto yoyote ile nzuri na sehemu yoyote kama biashara itakuwa ni nzuri."
-FAUSTINO MUKANDILA wakala wa Mchezaji JEAN BALEKE.
Azam mnachelewa wapi
View attachment 2877063
Wakitaka kuwakomoa, Kama hawataki wangewaacha mapemaSimba wapuuzi kumuacha mtu dirisha likiwa limefungwa
Waliogopa ataenda yanga.Wakitaka kuwakomoa, Kama hawataki wangewaacha mapema
Itapendeza sasa kwenye mkataba waweke kipengele cha mchezaji kutokuachwa kwenye mazingira kama hayo wanaposaini kuichezea Makolo.Simba wapuuzi kumuacha mtu dirisha likiwa limefungwa
Iwekwe sheria ya tarehe za kuacha na kusajili ziwe tofauti, yaani deadline ya kuacha iwe mapema kuliko ya kusajiliItapendeza sasa kwenye mkataba waweke kipengele cha mchezaji kutokuachwa kwenye mazingira kama hayo wanaposaini kuichezea Makolo.
Sasa hapo si kumkomoa mchezaji tuWalijua Kuna timu itamuhitaji
Singidani au Ihefuni? Au Esther FcSimgidani..... kuleerr faster karibi Baleke