Wakala wa James kontei avurunga usajili wa yanga

frenk julius

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2019
Posts
377
Reaction score
242
Wakala wa James kotei ameikatalia club ya kaizar chief kumtoa kotei kwa mkopo kwenda yanga

Awali uongozi wa yanga kwa kushilikiana na mdhamini wao GSM walikubaliana na kaizer chiefs kumtoa nyota huyo kwa mkopo Yanga

Wakala wake aliweka ngumu na kuitaka kaizer chief ivunje mkataba kama haimuitaj mchezaji huyo

Lakini yeye mwenyewe amekataa na kusema kwa sas anarud nyumbani kwao Ghana ili kuwa karibu na mke wake ambaye amejifungua hiv karibuni

Pia nyota huyo wa zamani wa simba amesema kama ataamua kurudi Tanzania bas labda aende simba kutokana na mapenz makubwa na club ya simba na heshima kubwa kwa mashabiki wa simba.

Lakini baadae imeripotiwa amejiunga na club ya zesco

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…